Mwelekeo mpya bungeni, Pinda atoa hoja kutuliza hali ya hewa

Mwelekeo mpya bungeni, Pinda atoa hoja kutuliza hali ya hewa

mkuu, huwezi kuzuia chama cha siasa kuwa na mkakati katika suala kama hili. By the way ccm ndo chama tawala hivyo huwezi kukwepa

Mkuu huo mkakati umekuja wakati usio muafaka, kama kweli CCM wangelikuwa na nia njema basi wangehakikisha wananchi wanaielewa vyema kauli mbiu yao ya Serikali mbili.

Hii ingesaidia uungwaji mkono wa moja kwa moja na wananchi ili hata Warioba na wenzake waliokusanya mapendekezo leo hii rasimu yao ingesomeka kuwa Watanzania walio wengi wanahafiki serikali mbili.

Lakini kungojea hadi watu wakusanyike bungeni na kutaka kuyabaka matakwa ya wananchi kwa siri hakika hilo si jambo jema hata kidogo.
 
hakika mkuu. Na ndo maana mwenye busara kuliko wote, Pinda akaitwa kutuliza hali na ndo maana hata Lipumba ambaye asubuhi ya jana alikuwa kama mlevi, jioni aliongea maneno ya hekima

wewe zuzu kweli,pinda ana busara gani????? busara ya kulia kinafiki hadharani???? au kuropoka WAPIGWE TU! pambaaaafffff zako!
 
dada, kwani mie kama nakutaka halafu nikakujengea nyumba, nikakununulia gari na kila unachohitaji nakupatia hata kabla ya kukutamkia kuwa nakupenda au wewe huna mapenzi na mie, mwisho wa siku ukanikataa kwa kutumia utashi wako hapo mie nitakulaumu kwa lipi? Hata kama hao wajumbe wamealikwa kwenye dinner haina maana kuwa ndo wanashurutishwa kwenye maamuzi. Hata Mbowe pia katoa dinner kwa wawakilishi wa NGO

kwa nini waalikwe na kuhongwa??? mpuuz sana wewe unayejitia upofu na kutetea upumbafu ili kutibu njaa zako,hiyo buk 7 inayokufanya ujitie mwehu itakufikisha wapi??? kutoa na kupokea rushwa yote ni makosa na ni ujinga na kujidharirisha kutetea rushwa hadharani,Jitambue na acha kutumika!
 
mkuu, huwezi kuzuia chama cha siasa kuwa na mkakati katika suala kama hili. By the way ccm ndo chama tawala hivyo huwezi kukwepa

Ivi kwani tunataka katiba ya chama au katiba ya taifa?
Jee sisi ambao hatuna chama?
 
Back
Top Bottom