Calcium ni madini muhimu kwa ajili ya kuimarisha mifupa na meno, vidonge vine hutoa asilimia 100 ya kiasi cha calcium itakiwayo kwa siku katika mwili ina 1000mg ya calcium pamoja n 400iu ya vitamin D na 400mg za Magnesium nyongeza ya bidhaa hizo mbili za mwisho ni muhimu kusaidia uwezo wa juu wa unyonywaji wa calcium mwilini. Bidhaa hii ni muhimu na itumike wakati wa kula chakula ili iweze kuingia mwilini. Damu ikikosa bidhaa hii huiamuru parathyroid hormone ichukue kwenye mifupa na meno na kusababisha mifupa kuwa dhaifu na rahisi kuvunjika(osteoporosis)
Pia wajawazito huwa calcium nyingi hutumika kwa ajili ya mtoto aliye tumboni.
INASAIDIA: Kuimarisha mifupa, meno, mapigo ya moyo, misuli, ugandaji wa damu na hormones kufanya kazi vizuri.
Pia wajawazito huwa calcium nyingi hutumika kwa ajili ya mtoto aliye tumboni.
INASAIDIA: Kuimarisha mifupa, meno, mapigo ya moyo, misuli, ugandaji wa damu na hormones kufanya kazi vizuri.