Sawa mwendazakeKenya marehemu huitwa mwendazake. Kiswahili Cha Kenya kinachekesha Sana.
Ugali wanaita sima hawa jamaa bana
Kenya marehemu huitwa mwendazake. Kiswahili Cha Kenya kinachekesha Sana.
Ila Hayati ni mtu alie Hai. Marehem ni Mamati. Kutoka lugha ya kiarabuZamani walikuwa mtu maarufu wanamuita Hayati...Hadi walipokuja kugundua Hayati manake marehem ndo wakaacha