KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Mpwa mbona unanionea wivu? Yani kupendwa na mtani wangu unakuwa na wivu, sisi tunamaanisha mpwa!![emoji12] [emoji125]
Mkuu nimenyoosha mikono basi ubaki kuwa themejiEwaaaaa, kiongozi KikulachoChako sasa majeshi yote kwa dada Sky Eclat. Mimi na mtani darling tumemaliza kazi yetu.
Duh! Shukran bibie maana nilitaka ikifika saa sita nianze kusoma dua mbaya mbaya tu ilikuwa jana ikapita na leo tena ingepita!huyu bundi na aende kwa wengine umenitoa mrithi kama kwenye karata udumu milele.The Boss@platozoom@Guasa Amboni
Ewaaaaa, kiongozi KikulachoChako sasa majeshi yote kwa dada Sky Eclat. Mimi na mtani darling tumemaliza kazi yetu.
Yaishe kaka. Nilikuwa nauliza tu[emoji120] [emoji120]Dogo, kuwa na adabu kwa kaka zako.
Ina ushemeji bhana, maneno ya huyo mwimbaji nimemrudishia yeye mwenyewe, kwani hayana nafasi kabisa.Eti ni kweli hakunaga ushemela?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji4] [emoji4] karibu tena wangu!Duh! Shukran bibie maana nilitaka ikifika saa sita nianze kusoma dua mbaya mbaya tu ilikuwa jana ikapita na leo tena ingepita!huyu bundi na aende kwa wengine umenitoa mrithi kama kwenye karata udumu milele.
Ni kweli kabisa. Mambo ya kula mashemeji haipendezi kabisaIna ushemeji bhana, maneno ya huyo mwimbaji nimemrudishia yeye mwenyewe, kwani hayana nafasi kabisa.
Haswaa, tutapumua sasa, asante kwa kutuondolea joto bae ... My X.Mkuu nimenyoosha mikono basi ubaki kuwa themeji
Yanatoka moyoni...
Kwenye kina cha moyo wangu..
Nashukuru umekiri mimi ni x wakoHaswaa, tutapumua sasa, asante kwa kutuondolea joto bae ... My X.
Acha woga wew Elly79 mwenyewe ni kafupiii kanakutisha niniYaishe kaka. Nilikuwa nauliza tu[emoji120] [emoji120]
Asante dogo, wewe tafuta tu mbona wapo wengi. Naweza hata kukusaidia ku-pin point mdada!!Mkuu nimenyoosha mikono basi ubaki kuwa themeji
Atalifurahia... liko moderate... Amazing.Sio wivu bali nakuonea huruma maana nakujua wewe moyo wako wa plastic....huwezi kuhimili hili joto la huba....
Uniletee mchepuko wako[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Asante dogo, wewe tafuta tu mbona wapo wengi. Naweza hata kukusaidia ku-pin point mdada!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Acha woga wew Elly79 mwenyewe ni kafupiii kanakutisha nini
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji12] umekosa adabu we kijana.Acha woga wew Elly79 mwenyewe ni kafupiii kanakutisha nini