Mwendelezo: Funguka mwanaume unaevutiwa nae JF

Mwendelezo: Funguka mwanaume unaevutiwa nae JF

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
33,894
Reaction score
76,810
Waasalam;

jana ilikuwa zamu yetu/me kufunguka. Uzi ulinoga kinoma. Leo ni zamu ya wanawake kufunua mioyo yao kuwataja wawavutiao . Sijui ile fomular ya "if you do me I do you" itachukua nafasi! !!( najiuliza tu).

Uzi ungenoga kama angeanzisha mdada ila sioni dalili. OK hakijaharibika kitu . .kazi kwenu kidada funguka unaevutiwa nae....
 
Back
Top Bottom