Mbwa kala mbwaa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 218
- 389
Hii kampasi majanga yanazidi kuongezeka na wahusika msipo chukua hatua hamtutendei haki wanafunzi.
Leo jumapili sisi wanafunzi wa BIRM 3 tukiwa tunafanya mtihani wa strategic management lecture 7, tukiwa dakika za mwishoni ghafla aliingia mfanyakazi wa computer lab Mr Swai huku kashika remote mkononi. Moja kwa moja akaenda mbele na kuwasha desktop ya kufundishia. Lahaula, si akawasha na projector na kurusha matangazo ya kombe la dunia kwa sauti kubwa ukutani huku mtihani unaendelea!
Tumejiuliza maswali mengi juu ya aina ya wafanyakaz wanao ajiriwa hapa Mwanza Campus. Haya Ni maajabu ambayo hata katika mitihani ya chekechea huwezi kuyaona. Huyu ndugu ni kichaa?? Maana wasimamizi wa mtihani ilibid watumie nguvu ya ziada kumdhibiti na kuzima matangazo Yale yasilete bighudha.
Hebu mamlaka za IFM angalieni sampuli ya baadhi ya wafanyakaz wenu hapa Mwanza Campus, wanatia aibu na kinyaa.
Pathetic!
Soma pia:
www.jamiiforums.com
Leo jumapili sisi wanafunzi wa BIRM 3 tukiwa tunafanya mtihani wa strategic management lecture 7, tukiwa dakika za mwishoni ghafla aliingia mfanyakazi wa computer lab Mr Swai huku kashika remote mkononi. Moja kwa moja akaenda mbele na kuwasha desktop ya kufundishia. Lahaula, si akawasha na projector na kurusha matangazo ya kombe la dunia kwa sauti kubwa ukutani huku mtihani unaendelea!
Tumejiuliza maswali mengi juu ya aina ya wafanyakaz wanao ajiriwa hapa Mwanza Campus. Haya Ni maajabu ambayo hata katika mitihani ya chekechea huwezi kuyaona. Huyu ndugu ni kichaa?? Maana wasimamizi wa mtihani ilibid watumie nguvu ya ziada kumdhibiti na kuzima matangazo Yale yasilete bighudha.
Hebu mamlaka za IFM angalieni sampuli ya baadhi ya wafanyakaz wenu hapa Mwanza Campus, wanatia aibu na kinyaa.
Pathetic!
Soma pia:
DOKEZO - Kero IFM Mwanza Campus, mamlaka husika tusaidie wanafunzi
Naandika hapa jamiiforums ili kupata msaada baada ya meneja wa campus daktari Ally Zawadi kushindwa kutusaidia. BAADHI YA KERO: 1: UBOVU WA MAZINGIRA YA KUJIFUNZIA Kwa muda sasa, kampasi hii imepoteza mwelekeo. Tupo wanafunzi zaidi ya 1000 hapa Mwanza na tunalipa ada isio pungua milioni moja...