Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Mwana JF mmoja ni mkazi wa hapo Mwanza,ukute ndiye huyo lecturerNi Nani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwana JF mmoja ni mkazi wa hapo Mwanza,ukute ndiye huyo lecturerNi Nani mkuu
Yupo Mwanza hapo mara ya mwisho alitujuza amehamia kwenye music, id yake mpya ni dj nalimisonHivi kisandu yuko wapi
Dogo, wekeza nguvu na muda wako mwingi kwenye nasomo.Hii kampasi majanga yanazidi kuongezeka na wahusika msipo chukua hatua hamtutendei haki wanafunzi.
Leo jumapili sisi wanafunzi wa BIRM 3 tukiwa tunafanya mtihani wa strategic management lecture 7, tukiwa dakika za mwishoni ghafla aliingia mfanyakazi wa computer lab Mr Swai huku kashika remote mkononi. Moja kwa moja akaenda mbele na kuwasha desktop ya kufundishia. Lahaula, si akawasha na projector na kurusha matangazo ya kombe la dunia kwa sauti kubwa ukutani huku mtihani unaendelea!
Tumejiuliza maswali mengi juu ya aina ya wafanyakaz wanao ajiriwa hapa Mwanza Campus. Haya Ni maajabu ambayo hata katika mitihani ya chekechea huwezi kuyaona. Huyu ndugu ni kichaa?? Maana wasimamizi wa mtihani ilibid watumie nguvu ya ziada kumdhibiti na kuzima matangazo Yale yasilete bighudha.
Hebu mamlaka za IFM angalieni sampuli ya baadhi ya wafanyakaz wenu hapa Mwanza Campus, wanatia aibu na kinyaa.
Pathetic!
Soma pia:
DOKEZO - Kero IFM Mwanza Campus, mamlaka husika tusaidie wanafunzi
Naandika hapa jamiiforums ili kupata msaada baada ya meneja wa campus daktari Ally Zawadi kushindwa kutusaidia. BAADHI YA KERO: 1: UBOVU WA MAZINGIRA YA KUJIFUNZIA Kwa muda sasa, kampasi hii imepoteza mwelekeo. Tupo wanafunzi zaidi ya 1000 hapa Mwanza na tunalipa ada isio pungua milioni moja...www.jamiiforums.com
Unasoma, unafanya mtihani halafu anatokea mwendawazimu anakuja kwenye chumba Cha mtihan na kuwasha mechi na kui project ukutani huku mitihani unaendelea. Bado we unaona Hilo no sawa!!!Dogo, wekeza nguvu na muda wako mwingi kwenye nasomo.
Ukiendelea na hii tabia yako ya usnitch; utaishia tu kupata sup, ku carry, au hata ku disco!
Usikute huyu ndio Mr Swai mwenyewe anajaribu kujiteteaWewe ndio una shida mkuu, unashindwa kuchata namna gani jambo linatakiwa kufanyika kwa usahihi na kwa wakati upi katika kazingira yapi.
Takbiiiirrr!!Dogo, wekeza nguvu na muda wako mwingi kwenye nasomo.
Ukiendelea na hii tabia yako ya usnitch; utaishia tu kupata sup, ku carry, au hata ku disco!
Bongo hakuna lecture ila wachumia tumbo
Vitu vingine ni Very minor
Kuna watu watakua hawajawahi kupita darasani, wanabaki kusema hili Ni Jambo dogo...Kuwasha projector na kuangalia kombe la Dunia kwenye chumba Cha mtihani?
Kweli wewe ni mla Mbwa haswa!Unaona Jambo dogo hili
Elimu! Elimu! Elimu!Kamulize mamayo, niliyempa Mimba ya kukyzaa wewe!