Mwendelezo vituko IFM Mwanza Campus, TV yawashwa chumba cha mtihani

Mwendelezo vituko IFM Mwanza Campus, TV yawashwa chumba cha mtihani

Enzi hizo nipo mwaka wa mwisho chuoni tukiwa kwenye mtihani kuna mwamba mmoja alidakwa na nondo, cha kushangaza katikati ya mtihani tulipigwa search wanafunzi wote na wale wasimamizi uchwara.

Hawa watu wanao ajiliwa vyuoni sijui wanaokotewa wapi wanatufundisha ethics and professionalism lakin wao hawana hata chembe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kampasi majanga yanazidi kuongezeka na wahusika msipo chukua hatua hamtutendei haki wanafunzi.

Leo jumapili sisi wanafunzi wa BIRM 3 tukiwa tunafanya mtihani wa strategic management lecture 7, tukiwa dakika za mwishoni ghafla aliingia mfanyakazi wa computer lab Mr Swai huku kashika remote mkononi. Moja kwa moja akaenda mbele na kuwasha desktop ya kufundishia. Lahaula, si akawasha na projector na kurusha matangazo ya kombe la dunia kwa sauti kubwa ukutani huku mtihani unaendelea!

Tumejiuliza maswali mengi juu ya aina ya wafanyakaz wanao ajiriwa hapa Mwanza Campus. Haya Ni maajabu ambayo hata katika mitihani ya chekechea huwezi kuyaona. Huyu ndugu ni kichaa?? Maana wasimamizi wa mtihani ilibid watumie nguvu ya ziada kumdhibiti na kuzima matangazo Yale yasilete bighudha.

Hebu mamlaka za IFM angalieni sampuli ya baadhi ya wafanyakaz wenu hapa Mwanza Campus, wanatia aibu na kinyaa.

Pathetic!

Soma pia:

Dogo, wekeza nguvu na muda wako mwingi kwenye nasomo.
Ukiendelea na hii tabia yako ya usnitch; utaishia tu kupata sup, ku carry, au hata ku disco!
 
Dogo, wekeza nguvu na muda wako mwingi kwenye nasomo.
Ukiendelea na hii tabia yako ya usnitch; utaishia tu kupata sup, ku carry, au hata ku disco!
Unasoma, unafanya mtihani halafu anatokea mwendawazimu anakuja kwenye chumba Cha mtihan na kuwasha mechi na kui project ukutani huku mitihani unaendelea. Bado we unaona Hilo no sawa!!!
 
Back
Top Bottom