Mwendeshaji wa kipindi cha Love Island Uingereza ajiua

Mwendeshaji wa kipindi cha Love Island Uingereza ajiua

babu M

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2010
Posts
5,222
Reaction score
3,173
PRC_86902905.jpg

caroline-flack-1581791277.jpg


Aliyekuwa mwendeshaji wa kipindi maarufu Uingereza cha Love Island, Caroline Flack amejiua jana nyumbani kwake London.

Caroline alikuwa ni mwendeshaji wa kipindi hicho kwa miaka kadhaa mpaka mwisho mwa mwaka Jana ambapo alilazimika ku resign kutoka na tuhuma za kumpiga mpenzi wa kiume na taa ya mezani.

Caroline alikuwa pia ni mshindi wa Strictly come dancing 2014 na mtangazaji wa Xtra Factor kabla ya Love Island.

Love Island ni kipindi ambacho kinawaweka vijana wa kiume na kike katika nyumba moja (Villa) kwa miezi kadhaa kwa madhumuni ya kupata wapenzi na mshindi!

Watu wengi wametuma rambirambi zao kwenye social media na vile vile kulaumu media kwamba ndio zimechangia yeye kujiua kutoka na kumwandika vibaya kama Man beater, Paedophile, abuser na kadhalika.

RIP Caroline!
 
Huku kwetu Kwamtogole hata rizki ikifungwa tunajifunza kupika maandazi na vitumbua, maisha yanasogea.
Alikuwa ni mtangazaji mzuri na alikuwa na kipindi kingine ambacho aku resign. Na vile vile kama kesi ingeisha vizuri ITV wangemrudisha.
Tatizo ni media walimwandika mpaka akawa anatumia anti depressant.
Rafiki aliyekuwa anamwangalia alitoka kwenda dukani ndio akapata mwanya wa kujiua!
 
Alikuwa ni mtangazaji mzuri na alikuwa na kipindi kingine ambacho aku resign. Na vile vile kama kesi ingeisha vizuri ITV wangemrudisha.
Tatizo ni media walimwandika mpaka akawa anatumia anti depressant.
Rafiki aliyekuwa anamwangalia alitoka kwenda dukani ndio akapata mwanya wa kujiua!
Hizo media hazijapata taarifa ya Bashite kupigwa ban ya kuingia USA?
 
Hivi amejiua au amekutwa amefariki kwenye apartment yake ( wao wamejiuaje Kama amejiua ?)
 
Hivi amejiua au amekutwa amefariki kwenye apartment yake ( wao wamejiuaje Kama amejiua ?)
Alikuwa anatumia madawa ya depression. Halafu rafiki yake alikuwa na wasiwasi tayari akaja kukaa nae kuhakikisha yupo salama. Lakini kosa alilofanya alitoka nje kwenda dukani kurudi hakakuta ameshajiua!
Pia boyfriend wake aliyeshtaki polisi. Siku za karibuni alifuta kesi na kuanza kumwandika vizuri kwenye mitandao. I think he saw this coming...hakutaka lawama!
 
Stress ni gongwa na tatizo linaloathiri watu weng sana katika jamii zetu japo watu huchukulia kawaida sana..

Idad kubwa ya watu hujiua kutokana na atresss
Ajali nying hutokea kwa sabab ya stress..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
PRC_86902905.jpg

caroline-flack-1581791277.jpg


Aliyekuwa mwendeshaji wa kipindi maarufu Uingereza cha Love Island, Caroline Flack amejiua jana nyumbani kwake London.

Caroline alikuwa ni mwendeshaji wa kipindi hicho kwa miaka kadhaa mpaka mwisho mwa mwaka Jana ambapo alilazimika ku resign kutoka na tuhuma za kumpiga mpenzi wa kiume na taa ya mezani.

Caroline alikuwa pia ni mshindi wa Strictly come dancing 2014 na mtangazaji wa Xtra Factor kabla ya Love Island.

Love Island ni kipindi ambacho kinawaweka vijana wa kiume na kike katika nyumba moja (Villa) kwa miezi kadhaa kwa madhumuni ya kupata wapenzi na mshindi!

Watu wengi wametuma rambirambi zao kwenye social media na vile vile kulaumu media kwamba ndio zimechangia yeye kujiua kutoka na kumwandika vibaya kama Man beater, Paedophile, abuser na kadhalika.

RIP Caroline!
Ila wenzetu bwana. Yani kuandikwa na gazeti eti umepigana basi unakosa amani unapewa washauri nasaha na haitoshi hadi unatoa uhai.

Waje kwa Wema ambaye licha ya kuandikwa kila uchwao kwa mabaya, alipigana hadi akavunja kioo cha gari, akatoa mimba, ana mdudu, hazai, hajaolewa, hana kazi maalum ya kumuingizia kipato, hana mpenzi, amekuwa na kesi ya madawa ya kulevya mahakamani na bado anadunda tu kudadeki. Huyu angekuwa yeye si angejiua, ajiue tena na tena na tena. Yani kumpa kijana discipline kwa makonzi mawili matatu unaandikwa hadi unajiua! Kudadeki!
 
Ila wenzetu bwana. Yani kuandikwa na gazeti eti umepigana basi unakosa amani unapewa washauri nasaha na haitoshi hadi unatoa uhai.

Waje kwa Wema ambaye licha ya kuandikwa kila uchwao kwa mabaya, alipigana hadi akavunja kioo cha gari, akatoa mimba, ana mdudu, hazai, hajaolewa, hana kazi maalum ya kumuingizia kipato, hana mpenzi, amekuwa na kesi ya madawa ya kulevya mahakamani na bado anadunda tu kudadeki. Huyu angekuwa yeye si angejiua, ajiue tena na tena na tena. Yani kumpa kijana discipline kwa makonzi mawili matatu unaandikwa hadi unajiua! Kudadeki!
Wabongo ni makambale

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wkt huko Bongo yule shilole alikua anamtandika mangumi Nuhu Mziwanda mpk dogo anakimbilia barabarani na malapa yake,uchebe kala sana makofi ya Shilole na kinaonekana ni kitendo cha kishujaa mwanamke akifanya hivyo.
Shilole mpaka kwenye ratiba zake za kila siku kuna muda ametenga wa kutembeza makofi kwa vibwana vyake.hahahaa
 
Ila wenzetu bwana. Yani kuandikwa na gazeti eti umepigana basi unakosa amani unapewa washauri nasaha na haitoshi hadi unatoa uhai.

Waje kwa Wema ambaye licha ya kuandikwa kila uchwao kwa mabaya, alipigana hadi akavunja kioo cha gari, akatoa mimba, ana mdudu, hazai, hajaolewa, hana kazi maalum ya kumuingizia kipato, hana mpenzi, amekuwa na kesi ya madawa ya kulevya mahakamani na bado anadunda tu kudadeki. Huyu angekuwa yeye si angejiua, ajiue tena na tena na tena. Yani kumpa kijana discipline kwa makonzi mawili matatu unaandikwa hadi unajiua! Kudadeki!
Wenzetu wapo sensitive sana kinachoandikwa kwenye media. Watajiuliza maswali mengi sana na pia watu watamjaji sana na kiukweli!
Utamaduni wao pia, mfano kuitwa man/woman beater au abuser ina impact kubwa sana kwenye maisha yao. Unaweza kupoteza kazi na marafiki. Lakini hapa kwetu tumeona watu wakipiga watu na wakaishia kupata ubunge na vyeo vya juu.
Abuser hapa kwetu watu wanaona kama sifa fulani hivi. Hao celebrities wanaoandikwa vibaya hapa kwetu wanaoneka wanaenjoy attentions wazozipata!!
 
Poleni familia...Kujulikana napo ni tabu maana kama una moyo mdogo unaweza kujipiga kitanzi kwa bullying.
Hasa social media imechangia watu commit suicide. Ndio maana kumekuwa na mashinikizo siku za karibuni social media companies ku act zaidi kupunguza bullying na kuchangia pesa pia!
 
Wkt huko Bongo yule shilole alikua anamtandika mangumi Nuhu Mziwanda mpk dogo anakimbilia barabarani na malapa yake,uchebe kala sana makofi ya Shilole na kinaonekana ni kitendo cha kishujaa mwanamke akifanya hivyo.
Kwetu ni sifa fulani hivi! Inampa Shilole sifa ya kuonekana jasiri fulani hivi. Hata akigombania ubunge watu watampa kura for the same reason... very sad!
 
Wkt huko Bongo yule shilole alikua anamtandika mangumi Nuhu Mziwanda mpk dogo anakimbilia barabarani na malapa yake,uchebe kala sana makofi ya Shilole na kinaonekana ni kitendo cha kishujaa mwanamke akifanya hivyo.
Kwa wenzetu ni kosa kisheria... Sio ushujaa wala nn
 
Stress ni gongwa na tatizo linaloathiri watu weng sana katika jamii zetu japo watu huchukulia kawaida sana..

Idad kubwa ya watu hujiua kutokana na atresss
Ajali nying hutokea kwa sabab ya stress..


Sent using Jamii Forums mobile app
Stress ina madhara makubwa sana. Inachangia magonjwa kama Magonjwa ya moyo. Blood pressure, Unene, dementia, kupoteza nguvu za kiume na kadhalika.
 
Back
Top Bottom