Mwendeshaji wa kipindi cha Love Island Uingereza ajiua

Mwendeshaji wa kipindi cha Love Island Uingereza ajiua

Ila wenzetu bwana. Yani kuandikwa na gazeti eti umepigana basi unakosa amani unapewa washauri nasaha na haitoshi hadi unatoa uhai.

Waje kwa Wema ambaye licha ya kuandikwa kila uchwao kwa mabaya, alipigana hadi akavunja kioo cha gari, akatoa mimba, ana mdudu, hazai, hajaolewa, hana kazi maalum ya kumuingizia kipato, hana mpenzi, amekuwa na kesi ya madawa ya kulevya mahakamani na bado anadunda tu kudadeki. Huyu angekuwa yeye si angejiua, ajiue tena na tena na tena. Yani kumpa kijana discipline kwa makonzi mawili matatu unaandikwa hadi unajiua! Kudadeki!
Ila kweli, wazungu so soft sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini kosa alilofanya alitoka nje kwenda dukani kurudi hakakuta ameshajiua!
Pia boyfriend wake aliyeshtaki polisi.
Mwenye nia ya kujiua, hata ukienda msalani tu, atatimiza nia yake!!
 
Wkt huko Bongo yule shilole alikua anamtandika mangumi Nuhu Mziwanda mpk dogo anakimbilia barabarani na malapa yake,uchebe kala sana makofi ya Shilole na kinaonekana ni kitendo cha kishujaa mwanamke akifanya hivyo.
Mkuu! Ubarikiwe sana kwa kunifanya nicheke asubuhi ya leo!!
 
Stress ina madhara makubwa sana. Inachangia magonjwa kama Magonjwa ya moyo. Blood pressure, Unene, dementia, kupoteza nguvu za kiume na kadhalika.
Mkuu, unazijua stress? Ondoa neno unene kwenye stress, utajikuta kutoka braza k mpaka wabogojo aisee.
 
Mkuu, unazijua stress? Ondoa neno unene kwenye stress, utajikuta kutoka braza k mpaka wabogojo aisee.
Mkuu, Sio mimi, kuna research nyingi wame link stress na obesity. Wanasema mtu anapokuwa stress anajifariji na chakula hasa chenye high calories. Hasa kwenye nchi za wenzetu ambapo vyakula ni bei rahisi nani convenient.
Mfano, mtu mwenye stress anaweza kula 2 tubs of ice cream, bado mlo kamili na snacks nyingine.

Halafu stress inaweza kusababisha depression ambayo link na lack of physical activities.
Halafu kuna tatizo la hormone pia; cortisol au stress hormone. Hizi ni hormone ambazo zinasaidia to maintain stress level. Zikiwa over produce zinachangia belly fat.

Kuna sababu nyingine za kukosa usingizi na matokeo yake kula kama mchwa usiku mzuma.
Zipo sababu lukuki!

Ni wachache sana wanao kuwa stress halafu it works opposite, wanapungua!
 
Ila wenzetu bwana. Yani kuandikwa na gazeti eti umepigana basi unakosa amani unapewa washauri nasaha na haitoshi hadi unatoa uhai.

Waje kwa Wema ambaye licha ya kuandikwa kila uchwao kwa mabaya, alipigana hadi akavunja kioo cha gari, akatoa mimba, ana mdudu, hazai, hajaolewa, hana kazi maalum ya kumuingizia kipato, hana mpenzi, amekuwa na kesi ya madawa ya kulevya mahakamani na bado anadunda tu kudadeki. Huyu angekuwa yeye si angejiua, ajiue tena na tena na tena. Yani kumpa kijana discipline kwa makonzi mawili matatu unaandikwa hadi unajiua! Kudadeki!

Dah...kudadadeki walahi....!!
 
Back
Top Bottom