Ni mpango maalumSerikali inalea kirusi kikubwa sana.
Huo usafiri umeoza mkuu, usijichanganye kupanda utajuta , magari ni machache sana watu ni wengi mnoKama kuna abiria aliyetoka na treni ya saa kumi namoja jioni kwenda moro kashafika na kaoga kapumzika huwezi amini hapa kivukoni watu wapo tokea saa 10 hamna magari
Yaani abiria wa moro kafika na kashalala mtu wa kimara haelewi hadi sasa ataondoka saa ngapi
sijui Serikali mna mpango gani na huu usafiri mnajinadi kila siku mmefanya makubwa mbona hali tete sana huku
Mbuzi ni yule uliemuacha kwako! Narudia Tafuta hela huwezi kusema una hela ukae kuanzia saa 10 ukisubiri mwendo kasi mjazane kama kuku kwenye tengaWe ni mbuzi kweli aliekwanbia wanaopanda mwendokasi hawana hela ni nani
Mwendokasi ndio usafiri umewafanya watu kuacha magari kukimbia foleni na uchovu usijidanganye
Kama kuna abiria aliyetoka na treni ya saa kumi namoja jioni kwenda moro kashafika na kaoga kapumzika huwezi amini hapa kivukoni watu wapo tokea saa 10 hamna magari
Yaani abiria wa moro kafika na kashalala mtu wa kimara haelewi hadi sasa ataondoka saa ngapi
sijui Serikali mna mpango gani na huu usafiri mnajinadi kila siku mmefanya makubwa mbona hali tete sana huku
Mawazo ya pingapinga Fc ya hovyo sana. Hakuna mtu mwenye mawazo eti ili wauze mradi basi watese kwanza wananchi, Chadema mkipewa nchi mna njia za hovyo sana kuhalalisha uhujumu uchumi.Lengo lao wauze mradi kwa watu wao, haya mateso ni kujaribu kushawishi wananchi
Kama kuna abiria aliyetoka na treni ya saa kumi namoja jioni kwenda moro kashafika na kaoga kapumzika huwezi amini hapa kivukoni watu wapo tokea saa 10 hamna magari
Yaani abiria wa moro kafika na kashalala mtu wa kimara haelewi hadi sasa ataondoka saa ngapi
sijui Serikali mna mpango gani na huu usafiri mnajinadi kila siku mmefanya makubwa mbona hali tete sana huku
Haya magari ni laana..ni mateso makali sana kwa wananchi.
Kuna namna unatafakari hupati majibu kabisa.Haiji akilini..Maajabu ya Afrika.
Mradi huu utakufa kwa kuzidiwa na wateja. Ajabu sana aisee. It is a miracle!
Wew ni mpumbavu tu.Tafuta hela
Waafrika tuna matatizo makubwa sana 🚮Kuna namna unatafakari hupati majibu kabisa.Haiji akilini..
Hapa wanatafuta sababu ya kumpa mwarabu. Wanatesa raia ili wakimpa mwarabu kila mtu aseme ni bora.Kama kuna abiria aliyetoka na treni ya saa kumi namoja jioni kwenda moro kashafika na kaoga kapumzika huwezi amini hapa kivukoni watu wapo tokea saa 10 hamna magari
Yaani abiria wa moro kafika na kashalala mtu wa kimara haelewi hadi sasa ataondoka saa ngapi
sijui Serikali mna mpango gani na huu usafiri mnajinadi kila siku mmefanya makubwa mbona hali tete sana huku