LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Kama kuna abiria aliyetoka na treni ya saa kumi namoja jioni kwenda Moro kashafika na kaoga kapumzika huwezi amini hapa kivukoni watu wapo tokea saa 10 hamna magari
Yaani abiria wa Moro kafika na kashalala mtu wa kimara haelewi hadi sasa ataondoka saa ngapi
Sijui Serikali mna mpango gani na huu usafiri mnajinadi kila siku mmefanya makubwa mbona hali tete sana huku
Yaani abiria wa Moro kafika na kashalala mtu wa kimara haelewi hadi sasa ataondoka saa ngapi
Sijui Serikali mna mpango gani na huu usafiri mnajinadi kila siku mmefanya makubwa mbona hali tete sana huku