True kaka mimi mwenyewe nawajua kama jirani yangu ana maduka mawili ya nguo yule ni bilionea ana pesa vibaya ila kila jioni na mkewe utawaona wanasubiri mwendokasi za mbezi hawana makuu na boda hawataki hata kuziskia maajaliNi kweli mkuu! Kuna watu wengi sana nawafahamu pale Kariakoo na wengine ni jamaa zangu wana biashara zao kubwa tu na hela wanazo kama uchafu lakini huyooo unamkuta kwenye Mwendokasi. Ni usafiri mzuri sana sema mipuuzi ya CCM imeshindwa kuusimamia!
Mpaka leo hayo mabasi mapya hayajafika tuKama kuna abiria aliyetoka na treni ya saa kumi namoja jioni kwenda moro kashafika na kaoga kapumzika huwezi amini hapa kivukoni watu wapo tokea saa 10 hamna magari
Yaani abiria wa moro kafika na kashalala mtu wa kimara haelewi hadi sasa ataondoka saa ngapi
sijui Serikali mna mpango gani na huu usafiri mnajinadi kila siku mmefanya makubwa mbona hali tete sana huku
A big big oneMaajabu ya Afrika.
Mradi huu utakufa kwa kuzidiwa na wateja. Ajabu sana aisee. It is a miracle!
Si madogo aisee...hapo kuna pesa sana kwa huo mradi..ila utakuta ni mtu au watu wachache tu wamejiamuliana kukomoanaWaafrika tuna matatizo makubwa sana 🚮
Tulia michezo tu... shirika linatengenezewa mazingira ya kufiliska ili watu wapite nalo... walewale😄😄Kama kuna abiria aliyetoka na treni ya saa kumi namoja jioni kwenda moro kashafika na kaoga kapumzika huwezi amini hapa kivukoni watu wapo tokea saa 10 hamna magari
Yaani abiria wa moro kafika na kashalala mtu wa kimara haelewi hadi sasa ataondoka saa ngapi
sijui Serikali mna mpango gani na huu usafiri mnajinadi kila siku mmefanya makubwa mbona hali tete sana huku
Aisee ni noma sana. Mpaka sasa 20:50 niko kituoni Posta Ya Zamani na nimeingia 19:15. Huu ungese umezidi kiwangoKama kuna abiria aliyetoka na treni ya saa kumi namoja jioni kwenda moro kashafika na kaoga kapumzika huwezi amini hapa kivukoni watu wapo tokea saa 10 hamna magari
Yaani abiria wa moro kafika na kashalala mtu wa kimara haelewi hadi sasa ataondoka saa ngapi
sijui Serikali mna mpango gani na huu usafiri mnajinadi kila siku mmefanya makubwa mbona hali tete sana huku
Umeshanunua kausafiri kako binafsi mkurugenzi? 🏃🏿♂️ 🏃🏿♂️🏃🏿♂️Asante Mungu kunipumzisha na mateso haya ya hayo magari
Mida kama hii naambaa kwenye Panton huku nikiwaza foleni ya mwendokasi hapo Kivukoni.
Wewe unazo ngapi!?Tafuta hela
kwamba angekua na hela angetoa hata buku 10 au 15 achukue bolt imuwahishe home!?Mbuzi ni yule uliemuacha kwako! Narudia Tafuta hela huwezi kusema una hela ukae kuanzia saa 10 ukisubiri mwendo kasi mjazane kama kuku kwenye tenga
Hii ngozi nyeusi ni shida. Imagine mradi unakufa kisa kuzidiwa na wateja. Scandinavia, Japan, Germany au kwingineko ko kote itakuwa kashfa ya Karne. Huku kwetu it is OK as long as watu wanakula kulingana na urefu wa kamba zao.Unaweza kufikiria huko maofisini hamna watu, ila kuna wanaume na wanawake walioenda shuleni wakapata elimu na kuondoa "ujinga", bahati mbaya waliongeza ujinga ndio maana wapo kwenye nafasi zao ila they don't give a shyte what's happening to their people.
Ukiuangalia mradi wa mwendokasi ndio utaamini sisi ni duni wa kufikiri na kutenda.
Hivi management ya mwendokasi inakaa ofisini kufanya nini? They piss me off big time.
Huyo njaa kali tu, alafu anasema wenye hela waacha magari wakimbilie mwendo kasikwamba angekua na hela angetoa hata buku 10 au 15 achukue bolt imuwahishe home!?
Kweli hela ni muhimu
Tena comfortably mkuu.