Mwendokasi hali ni mbaya

Mwendokasi hali ni mbaya

Ni kweli mkuu! Kuna watu wengi sana nawafahamu pale Kariakoo na wengine ni jamaa zangu wana biashara zao kubwa tu na hela wanazo kama uchafu lakini huyooo unamkuta kwenye Mwendokasi. Ni usafiri mzuri sana sema mipuuzi ya CCM imeshindwa kuusimamia!
True kaka mimi mwenyewe nawajua kama jirani yangu ana maduka mawili ya nguo yule ni bilionea ana pesa vibaya ila kila jioni na mkewe utawaona wanasubiri mwendokasi za mbezi hawana makuu na boda hawataki hata kuziskia maajali
 
Kama kuna abiria aliyetoka na treni ya saa kumi namoja jioni kwenda moro kashafika na kaoga kapumzika huwezi amini hapa kivukoni watu wapo tokea saa 10 hamna magari

Yaani abiria wa moro kafika na kashalala mtu wa kimara haelewi hadi sasa ataondoka saa ngapi

sijui Serikali mna mpango gani na huu usafiri mnajinadi kila siku mmefanya makubwa mbona hali tete sana huku
Mpaka leo hayo mabasi mapya hayajafika tu
 
Hii ni taarifa au maoni binafsi?
#################

Sio kila jambo ni suala la kisiasa.
 
Kama kuna abiria aliyetoka na treni ya saa kumi namoja jioni kwenda moro kashafika na kaoga kapumzika huwezi amini hapa kivukoni watu wapo tokea saa 10 hamna magari

Yaani abiria wa moro kafika na kashalala mtu wa kimara haelewi hadi sasa ataondoka saa ngapi

sijui Serikali mna mpango gani na huu usafiri mnajinadi kila siku mmefanya makubwa mbona hali tete sana huku
Tulia michezo tu... shirika linatengenezewa mazingira ya kufiliska ili watu wapite nalo... walewale😄😄
 
Ila root ya Mbezi-Gerezani Mbezi-Kivukoni ni taabu tupu watu ebu watu wa huko mtafute kazi na makazi maeneo ya hukohuko kha! Monday to Sunday watu ni kujazana hadi kuvunja milango kha🙌
 
Kama kuna abiria aliyetoka na treni ya saa kumi namoja jioni kwenda moro kashafika na kaoga kapumzika huwezi amini hapa kivukoni watu wapo tokea saa 10 hamna magari

Yaani abiria wa moro kafika na kashalala mtu wa kimara haelewi hadi sasa ataondoka saa ngapi

sijui Serikali mna mpango gani na huu usafiri mnajinadi kila siku mmefanya makubwa mbona hali tete sana huku
Aisee ni noma sana. Mpaka sasa 20:50 niko kituoni Posta Ya Zamani na nimeingia 19:15. Huu ungese umezidi kiwango
 
Unaweza kufikiria huko maofisini hamna watu, ila kuna wanaume na wanawake walioenda shuleni wakapata elimu na kuondoa "ujinga", bahati mbaya waliongeza ujinga ndio maana wapo kwenye nafasi zao ila they don't give a shyte what's happening to their people.

Ukiuangalia mradi wa mwendokasi ndio utaamini sisi ni duni wa kufikiri na kutenda.

Hivi management ya mwendokasi inakaa ofisini kufanya nini? They piss me off big time.
Hii ngozi nyeusi ni shida. Imagine mradi unakufa kisa kuzidiwa na wateja. Scandinavia, Japan, Germany au kwingineko ko kote itakuwa kashfa ya Karne. Huku kwetu it is OK as long as watu wanakula kulingana na urefu wa kamba zao.

Unakuta jitu boya limekaa pale halafu linakwambia eti "kaa pembeni sina chenji". Yaani unatamani ulirukie ulirarue lakini unashindwa. Are we a failed state or just a shithole country/people/race?🚮
 
Haka kanatoa suluhisho la hiyo changamoto

download (1).jpeg
 
Kila mara huwa nasema hapa Jamvini,
Kusuasua kwa mradi huu wa Mwendokasi ni ISHARA ya uwezo mdogo wa sehemu kubwa ya Viongozi wetu Tanzania
 
Back
Top Bottom