Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,018
- 4,369
Anakula AC huku akichungulia nje abiria wanavopigana vikumbo kuingia.Huku akisema moyoni daah kuna watu wanashida hii DSM si warudi vijijini ona wanavobanana kama kuku kwenye tenga..wanashindwa kununua hata ka Passo, Ist..
Huku akismile na kula Ice cream ya maziwa(kulainisha koo) za azam na kusikiliza Jana na Leo ya Wasafi fm mida ya kurudi home au Akila ngoma la CALIFORNIA DREAMING la PAC mwenyew mdogo mdogo