Mwendokasi imerudi kwenye mstari. Pongezi kwenu

Mwendokasi imerudi kwenye mstari. Pongezi kwenu

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Wakuu tusiishie kutoa lawama mambo yanavyokuwa mabovu halafu yakiboreshwa tusitoe pongezi. Feedback ni muhimu iwe positive au negative.

Kwa sasa kero nyingi sana za mwendokasi zimetatuliwa kiasi ambacho huwezi sikia malalamiko ukiwa kituoni kama zamani ambapo kituoni kila mtu alikua analalamika.

Ilifikia hatua hadi mwendokasi wakaacha kutangaza vituo for no reason na hakuna aliejali. Hii ilionesha kulikua na usimamizi mbovu sana...hadi wakatisha ticket walikua wanaweza kukufokea bila kujali.

Kiukweli tuupongeze uongozi wa sasa ambao uko makini na wametambua kweli hii ni huduma na sisi ni wateja.
 
Jumatatu na jumanne nilikua na safari za Kariakoo na Posta kutokea Ubungo. Mida ya saa 4 Asubuhi kwenda na kurudi saa 11 jioni.

Aisee sikuamini ambavyo nilipata usafiri kiurahisi. Na ndani hatukujazana kivileee. Kawaida kabisa.

Nahisi magari mengi sahivi yapo barabarani.
 
Jumatatu na jumanne nilikua na safari za Kariakoo na Posta kutokea Ubungo. Mida ya saa 4 Asubuhi kwenda na kurudi saa 11 jioni.

Aisee sikuamini ambavyo nilipata usafiri kiurahisi. Na ndani hatukujazana kivileee. Kawaida kabisa.

Nahisi magari mengi sahivi yapo barabarani.
Kuna batch mpya mabasi naiona barabarani DW, ya zamani yalikuwa DG naona haya yamepunguza msongamano.
 
^If you're still suffering in a public transport, better go for a private one -- whether expensive or expansive as regards with time^ ~ Anonymous
 
Haya mambo ya kupongezana utadhani kulikuwa na chama kingine, si sawa.
Wakuu tusiishie kutoa lawama mambo yanavyokuwa mabovu halafu yakiboreshwa tusitoe pongezi. Feedback ni muhimu iwe positive au negative.

Kwa sasa kero nyingi sana za mwendokasi zimetatuliwa kiasi ambacho huwezi sikia malalamiko ukiwa kituoni kama zamani ambapo kituoni kila mtu alikua analalamika.

Ilifikia hatua hadi mwendokasi wakaacha kutangaza vituo for no reason na hakuna aliejali. Hii ilionesha kulikua na usimamizi mbovu sana...hadi wakatisha ticket walikua wanaweza kukufokea bila kujali.

Kiukweli tuupongeze uongozi wa sasa ambao uko makini na wametambua kweli hii ni huduma na sisi ni wateja.
 
Wakuu tusiishie kutoa lawama mambo yanavyokuwa mabovu halafu yakiboreshwa tusitoe pongezi. Feedback ni muhimu iwe positive au negative.

Kwa sasa kero nyingi sana za mwendokasi zimetatuliwa kiasi ambacho huwezi sikia malalamiko ukiwa kituoni kama zamani ambapo kituoni kila mtu alikua analalamika.

Ilifikia hatua hadi mwendokasi wakaacha kutangaza vituo for no reason na hakuna aliejali. Hii ilionesha kulikua na usimamizi mbovu sana...hadi wakatisha ticket walikua wanaweza kukufokea bila kujali.

Kiukweli tuupongeze uongozi wa sasa ambao uko makini na wametambua kweli hii ni huduma na sisi ni wateja.
Nimepanda gar hizo jana;
1. Mnapanda kwa mstari which ustaarabu usiozoeleka sana kwa Watanzania wengi wasio wastaraabu.
2. Wenye haraka zake kwa maana ya yuko tayari kusimama wana mstari wao ambapp wanaaza kupanda baada ya siti za kukaa kuwa zimejaa.
3. Gari la moja kwa moja from Mbezi-Kivukoni lipo which very good.
4. Kuna mwangalizi wa utaratibu wote wakati wote gari likipakia.
5.Ili kuepuka foleni ya kukata ticket, unaweza kata ticket kwa App yao ya Dar city Navigator kupitia simu yako. App iko Google store

Pongezi sana kwa Wizara husika ya TAMISEMI ambayo DART ipo chini yake.
 
Mimi kesho kutwa nakuja Dar, nitathibitisha ukweli au uongo wa Mada yako.
🙁 ok 🙂
 
Wakuu tusiishie kutoa lawama mambo yanavyokuwa mabovu halafu yakiboreshwa tusitoe pongezi. Feedback ni muhimu iwe positive au negative.

Kwa sasa kero nyingi sana za mwendokasi zimetatuliwa kiasi ambacho huwezi sikia malalamiko ukiwa kituoni kama zamani ambapo kituoni kila mtu alikua analalamika.

Ilifikia hatua hadi mwendokasi wakaacha kutangaza vituo for no reason na hakuna aliejali. Hii ilionesha kulikua na usimamizi mbovu sana...hadi wakatisha ticket walikua wanaweza kukufokea bila kujali.

Kiukweli tuupongeze uongozi wa sasa ambao uko makini na wametambua kweli hii ni huduma na sisi ni wateja.
wakatisha tickets na madereva wote ni soldier, mwendo wa amri tu
 
Baada ya kutoa yale mabasi 70 bila kulipa kodi nafikiri ndio yamekuja kua msaada kwa wananchi.

Ukweli mwendokasi sahivi ni ahueni kidogo tofauti na awali.

Wajifunze kutunza tuu miundo mbinu
 
Jumatatu na jumanne nilikua na safari za Kariakoo na Posta kutokea Ubungo. Mida ya saa 4 Asubuhi kwenda na kurudi saa 11 jioni.

Aisee sikuamini ambavyo nilipata usafiri kiurahisi. Na ndani hatukujazana kivileee. Kawaida kabisa.

Nahisi magari mengi sahivi yapo barabarani.
Siyo hilo,hata kupanda mabasi hayo sasa hivi ni kwa foleni,kumbe waTanzania tukiamua kufanya mambo mema inawezekana.
 
Anajitahidi..na sasa hv watu tuna panda line hakuna yale mambo ya mbagala
 
Back
Top Bottom