Mwendokasi imerudi kwenye mstari. Pongezi kwenu

Mwendokasi imerudi kwenye mstari. Pongezi kwenu

Mpaka kibaha zinafika za kutosha ,wangefanya nyingine ziwe za moja kwa moja ,kibaha mpaka kariakoo au kivukoni na Morocco ingependeza sana
 
Mwendokas ya wapi Mkuu? Maanapale gerezani unaweza kukaa hata lisaa limoja unasubiri gari. Unayo yamepaki TU pale hakuna anayejai. Abiria wa mbezi ndio Wanapata tabu sana
 
Baada ya kutoa yale mabasi 70 bila kulipa kodi nafikiri ndio yamekuja kua msaada kwa wananchi.

Ukweli mwendokasi sahivi ni ahueni kidogo tofauti na awali.

Wajifunze kutunza tuu miundo mbinu
Serikali ya CCM Ina Mambo ya ajabu sana. Idara moja ya serikali ilikua inaidai idara nyingine Kodi huku idara ya bandari ikiidai idara daiwa storage charges.
 
Nimepanda gar hizo jana;
1. Mnapanda kwa mstari which ustaarabu usiozoeleka sana kwa Watanzania wengi wasio wastaraabu.
2. Wenye haraka zake kwa maana ya yuko tayari kusimama wana mstari wao ambapp wanaaza kupanda baada ya siti za kukaw kuwa zimejaa.
3. Gari la moja kwa moja from Mbezi-Kivukoni lipo which very good.
4. Kuna mwangalizi wa utaratibu wote walati wote gari likipakia.

Pongezi sana kwa Wizara husika ya TAMISEMI ambayo DART ipo chini yake.
Ustaarabu wa watu kupanga foleni pindi wanapokuwa wengi na wote wakisubiri huduma ni mzuri sana na tena unapaswa kuungwa mkono. Tabia ya watu kugombania hovyo kupata huduma kwa kutumia maguvu huwaathiri sana watu wengi hasa wale wenye afya dhaifu katika miili yao.

Watu wanapaswa kuzingatia umuhimu hata wa vitu vidogo vidogo bila hata ya kusimamiwa na mtu mwingine. Nafikiri muda umefika wa kuweka mabango yenye kuhimiza watu kukaa kwenye mstari ili kuzingatia ile kanuni ya aliyetangulia ndiye anayepaswa kuhudumiwa kwanza.

Screenshot_20211209-135036.jpg
Screenshot_20211209-135004.jpg
Screenshot_20211209-134924.jpg
Screenshot_20211209-134736.jpg
Screenshot_20211209-134412.jpg
 
Mimi kesho kutwa nakuja Dar, nitathibitisha ukweli au uongo wa Mada yako.
🙁 ok 🙂
Ni kweli ila pale halmashauri Kuna msimamizi ni mpiga debe wa mabasi ya mikoani.
Basi la kwenda mbezi Louis likifika anapiga simu kwa wakatisha ticket, nilimsikia anamwambia konda wa abood bus kwamba ajiandae gari linakuja na abiria wengi wanaokwenda Moro!
 
Ni kweli ila pale halmashauri Kuna msimamizi ni mpiga debe wa mabasi ya mikoani.
Basi la kwenda mbezi Louis likifika anapiga simu kwa wakatisha ticket, nilimsikia anamwambia konda wa abood bus kwamba ajiandae gari linakuja na abiria wengi wanaokwenda Moro!
Sijaelewa
 
Back
Top Bottom