Makongoroso
New Member
- Nov 17, 2022
- 2
- 1
Wito kwa DART kuboresha huduma ya Mabasi ya Kimara to Kibaha. Leo tarehe 20/3/2023 nimefika Kimara saa 2.30 asubuhi na abiria walikuwa wamejaa wa kwenda Kibaha lakini Dereva wa basi hakua na haraka ya kusogea abiria walipo ili gari iende Kibaha.
Baada ya kusubiri kwa nusu saa na kwenda kuwaambia ndio Dada Mtangazaji anahangaika kumkumbusha Dreva asogee. Sidhani kama Taifa tutasogea ikiwa abiria wanasubiri dk 30 pasipo kupata huduma na hakuna shida ya kutokuwapo kwa basi isipokuwa ni utashi wao.
Wafanyakazi wa mabasi ya mwendokasi mjue wote tunaelekea kwenye majukumu hivyo ni muhimu kufanya kazi kwa kujali muda. Sisi abiria ndio tunaofanya mnafanya hiyo kazi.
Aione.. Mtendaji Mkuu wa DART
Baada ya kusubiri kwa nusu saa na kwenda kuwaambia ndio Dada Mtangazaji anahangaika kumkumbusha Dreva asogee. Sidhani kama Taifa tutasogea ikiwa abiria wanasubiri dk 30 pasipo kupata huduma na hakuna shida ya kutokuwapo kwa basi isipokuwa ni utashi wao.
Wafanyakazi wa mabasi ya mwendokasi mjue wote tunaelekea kwenye majukumu hivyo ni muhimu kufanya kazi kwa kujali muda. Sisi abiria ndio tunaofanya mnafanya hiyo kazi.
Aione.. Mtendaji Mkuu wa DART