Mwendokasi yaingia nchini Kenya

Mwendokasi yaingia nchini Kenya

Hayo mabas sio ya mwendo kasi sababu hawana barabara ya mwendo kasi utayeaitaje ya mwendokasi??
 
Dah CCM yenu kuitoa sidhani kama itakua rahisi kihivyo, nimepitia mada zenu za siasa, naona polisi wenu ni mikwara full kwenda mbele. Yaani polisi wa kuzuia maandamano ya raia wa kawaida wanapita pita mijini huku wamevaa full commando kama kwamba wamejiandaa kwa vita maalum.
Mapicha ya kuogofya bana, hadi nimejikuta nashukuru sana nchi yangu na uongozi wake na hulka yetu kama Wakenya, tuna tofauti zetu lakini kukaliwa design hii ni noma.

Kuna jamaa kaanzisha hii mada huku Jeshi la Polisi: Mazoezi yanayoendelea ni ya kawaida, hayalengi kuzuia shughuli zozote halali
img_20160824_160655-jpg.386973

img_20160824_160750-jpg.386978

Hapo tunawaonesha wakenya jinsi police walivyo imara. Hapo ni police tu bado wanajeshi hujawaona
 
Tuwe waungwana na kukubali kuwa majaa yametupita kwa mambo mambo mengi
Mfano wenyewe wameingiza barabarani mabasi kama yetu na pesa ambazo wangetumia kujenga miundombinu ya kutoka Kimara - Ferry kwa ajili ya mwendokasi pekee wenyewe wameitumia kujenga barabara za magari yote.
Sisi hapa nasikia tumetumia zaidi ya US $300 million kwa hii barabara isiyo cover hata 10% ya mji kwa ajili ya magari ya aina moja tu. Usije kushangaa Wakenya wametumia gharama hiyo hiyo au zaidi kidogo kuboresha barabara za mji mzima na kwa magari yote!
Kiukweli ukiangalia picha hiyo waliyoweka hapa unauona ukweli huu bila hata kusoma chuo kikuu.
Hizo ni daladala tu kama zile uda za mnazi mmoja - kivukoni,
Huwezi fananisha na modernised udart.
Kukopi,na kupesti,ndio mimi nilisema,tusijilinganishe na wakenya,hawana cha mno.
Hayo mabas sio ya mwendo kasi sababu hawana barabara ya mwendo kasi utayeaitaje ya mwendokasi??
 
Tuwe waungwana na kukubali kuwa majaa yametupita kwa mambo mambo mengi
Mfano wenyewe wameingiza barabarani mabasi kama yetu na pesa ambazo wangetumia kujenga miundombinu ya kutoka Kimara - Ferry kwa ajili ya mwendokasi pekee wenyewe wameitumia kujenga barabara za magari yote.
Sisi hapa nasikia tumetumia zaidi ya US $300 million kwa hii barabara isiyo cover hata 10% ya mji kwa ajili ya magari ya aina moja tu. Usije kushangaa Wakenya wametumia gharama hiyo hiyo au zaidi kidogo kuboresha barabara za mji mzima na kwa magari yote!
Kiukweli ukiangalia picha hiyo waliyoweka hapa unauona ukweli huu bila hata kusoma chuo kikuu.
Usichanganye hoja hapa mada ni mabasi ya mwendo kasi sio gharama wala superiority ya Tanzania au Kenya.

Kwa kipengele tu cha kukosa independent routes kwa hayo mabus hayawezi kuwa ya mwendokasi hayo mabus yapo kwenye jam na magari mengine ya kawaida yanashare the same roads unasema ya mwendokasi?
 
Usichanganye hoja hapa mada ni mabasi ya mwendo kasi sio gharama wala superiority ya Tanzania au Kenya.

Kwa kipengele tu cha kukosa independent routes kwa hayo mabus hayawezi kuwa ya mwendokasi hayo mabus yapo kwenye jam na magari mengine ya kawaida yanashare the same roads unasema ya mwendokasi?
Na hapo ndipo tunapokwama kama taifa. Huwezi kuongelea kitu kimoja bila kuongelea vitu vinavyokitengeneza, mwishowe utaishia kumuona chui mkali lakini ukimchunguza unagundua ni picha ya chui kwenye karatasi!
Hivi unadhani ni muda gani utakuja kuongea gharama, efficiency, running costs nk kama sio hapa!? Au utaishia kuwa kama mtoto mdogo ambaye akiona logo ya NMB popote anasema ni mwendokasi!
 
Na hapo ndipo tunapokwama kama taifa. Huwezi kuongelea kitu kimoja bila kuongelea vitu vinavyokitengeneza, mwishowe utaishia kumuona chui mkali lakini ukimchunguza unagundua ni picha ya chui kwenye karatasi!
Hivi unadhani ni muda gani utakuja kuongea gharama, efficiency, running costs nk kama sio hapa!? Au utaishia kuwa kama mtoto mdogo ambaye akiona logo ya NMB popote anasema ni mwendokasi!
Sema mabasi makubwa marefu yaingia Kenya hayo mabasi kuyaita ya mwendokasi ni sawa na kuita mkokoteni pickup.

Najua kuna ufisadi mkubwa darts from the scratch lakini kiite kijiko kijiko sio beleshi dogo.
 
Back
Top Bottom