Mwenendo huu wa biashara hata siuelewi!

Mkuu ulitegemea nini kwa hali hii ilivyo?
Nakushauri tumia social network kama fb, jf na insta kutangaza biashara yako. Angalia gap lililopo kwenye hardware zilizo karibu nawe ulifanyie kazi i hope utatoka.
 
Sio wewe tu hili ombwe la mdololo wa biashara ni nchi nzima jamaa kapunguza purchasing power watu hawàjengi tunachopata ni kwa ajili ya kula tu
 
Labda wateja ambao hawanunui biashara zenu ndio mafisadi
 
Kabla ya kuchangia ninaomba mleta uzi unifafanulie biashara ilikuwa nzuri lini awamu ya nne au hii awamu ya tano ya uongozi usiopenda uchochezi?
 
Du hii hali ukiwaza unaweza jua upo pekeyako kumbe tupo wengi.....najiuliza wanaosema hali shwari wanaolalamika ni wapiga dili inamaana na Mimi na kale kabiashara kangu ndo ulikuwa upigaji dili!! Yote yatapita!!
Kuna watu wanashabikiaga huu msemo kuwa wanaolalamika Hali ngumu walikuwa wapiga madili.,lkn ukweli tra wanaujua... huweziamini maduka mitaani yanafungwa na biashara nyingi zimedorola. Kwakweli serikali lzm iliangalie hili
 
Kuna watu wanashabikiaga huu msemo kuwa wanaolalamika Hali ngumu walikuwa wapiga madili.,lkn ukweli tra wanaujua... huweziamini maduka mitaani yanafungwa na biashara nyingi zimedorola. Kwakweli serikali lzm iliangalie hili
Mkuu mi nimefunga biashara yangu kutoka mauzo wastn 200k kwa siku hadi 0... mzigo upo ndani huku nikitafakari what next!!
 
Mkuu siku hizi watu hatusafirisafiri kama kipindi kile naenda sijui kwa nani kumsalimia, siku hizi ni kwa vitu muhimu tuu kama kwenda kazini ndio tunasafiri.
Ndo ivo unaambiwa hesabu ziko pale pale
watu wa makazini ni wengi...wanaoenda kufanya biashara wengi, wanaoenda shule kama chuo nao wengi, wanaokua na mishe mishe nyingi mjini nao wengi...
 
Mkuu siku hizi watu hatusafirisafiri kama kipindi kile naenda sijui kwa nani kumsalimia, siku hizi ni kwa vitu muhimu tuu kama kwenda kazini ndio tunasafiri.
...hiyo labda itaathiri posho za suka na mikoba wake,
..ila hesabu ya tajiri ipo palepale!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…