Mwenendo huu wa biashara hata siuelewi!

Mwenendo huu wa biashara hata siuelewi!

Mkuu ulitegemea nini kwa hali hii ilivyo?
Nakushauri tumia social network kama fb, jf na insta kutangaza biashara yako. Angalia gap lililopo kwenye hardware zilizo karibu nawe ulifanyie kazi i hope utatoka.
 
Wadau nipo kwenye biashara ya Hardware mwaka wa pili sasa, mwanzo biashara ilikuwa poa mpaka nikawa najisemea biashara ndiyo hii!

Hali imechange sana mwaka huu japo mwaka jana hali ilianza kudorola taratibu, sasa mwaka huu hata kipindi ambacho huwa tunaona ni cha biashara mambo yamekuwa sio kabisa!

Kwakweli stress nilizonazo hazielezeki, mzigo umejaa dukan wateja hakuna mtu unakomaa kwa siku unaondoka na elf 20.

Hapa nawaza niswitch kwenda kwenye biashara gani nashindwa kuelewa!

Vipi huko wenzetu hali ya biashara ikoje, mtu asije akaniambia niingie Forex hiyo naifahamu tayari!
Sio wewe tu hili ombwe la mdololo wa biashara ni nchi nzima jamaa kapunguza purchasing power watu hawàjengi tunachopata ni kwa ajili ya kula tu
 
Labda wateja ambao hawanunui biashara zenu ndio mafisadi
 
Wadau nipo kwenye biashara ya Hardware mwaka wa pili sasa, mwanzo biashara ilikuwa poa mpaka nikawa najisemea biashara ndiyo hii!

Hali imechange sana mwaka huu japo mwaka jana hali ilianza kudorola taratibu, sasa mwaka huu hata kipindi ambacho huwa tunaona ni cha biashara mambo yamekuwa sio kabisa!

Kwakweli stress nilizonazo hazielezeki, mzigo umejaa dukan wateja hakuna mtu unakomaa kwa siku unaondoka na elf 20.

Hapa nawaza niswitch kwenda kwenye biashara gani nashindwa kuelewa!

Vipi huko wenzetu hali ya biashara ikoje, mtu asije akaniambia niingie Forex hiyo naifahamu tayari!
Kabla ya kuchangia ninaomba mleta uzi unifafanulie biashara ilikuwa nzuri lini awamu ya nne au hii awamu ya tano ya uongozi usiopenda uchochezi?
 
Du hii hali ukiwaza unaweza jua upo pekeyako kumbe tupo wengi.....najiuliza wanaosema hali shwari wanaolalamika ni wapiga dili inamaana na Mimi na kale kabiashara kangu ndo ulikuwa upigaji dili!! Yote yatapita!!
Kuna watu wanashabikiaga huu msemo kuwa wanaolalamika Hali ngumu walikuwa wapiga madili.,lkn ukweli tra wanaujua... huweziamini maduka mitaani yanafungwa na biashara nyingi zimedorola. Kwakweli serikali lzm iliangalie hili
 
Kuna watu wanashabikiaga huu msemo kuwa wanaolalamika Hali ngumu walikuwa wapiga madili.,lkn ukweli tra wanaujua... huweziamini maduka mitaani yanafungwa na biashara nyingi zimedorola. Kwakweli serikali lzm iliangalie hili
Mkuu mi nimefunga biashara yangu kutoka mauzo wastn 200k kwa siku hadi 0... mzigo upo ndani huku nikitafakari what next!!
 
Mkuu siku hizi watu hatusafirisafiri kama kipindi kile naenda sijui kwa nani kumsalimia, siku hizi ni kwa vitu muhimu tuu kama kwenda kazini ndio tunasafiri.
Ndo ivo unaambiwa hesabu ziko pale pale
watu wa makazini ni wengi...wanaoenda kufanya biashara wengi, wanaoenda shule kama chuo nao wengi, wanaokua na mishe mishe nyingi mjini nao wengi...
 
Mkuu siku hizi watu hatusafirisafiri kama kipindi kile naenda sijui kwa nani kumsalimia, siku hizi ni kwa vitu muhimu tuu kama kwenda kazini ndio tunasafiri.
...hiyo labda itaathiri posho za suka na mikoba wake,
..ila hesabu ya tajiri ipo palepale!
 
Back
Top Bottom