Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
1965-Mwalimu JK Nyerere alishinda kwa kura 2,520,904 sawa na asilimia 96.46
1970- Mwalimu JK Nyerere alishinda kwa kura 3,220,636 sawa na asilimia 96.7
1975- Mwalimu JK Nyerere alishinda kwa kura 4,172,267 sawa na asilimia 93.25
1980- Mwalimu JK Nyerere alishinda kwa kura 5,570,883 sawa na asilimia 95.50
Mwaka 1984 Mwalimu aliamua kung"atuka akiwa bado na nguvu
1985- Mzee Aly Hassan Mwinyi alishinda kwa kura 4,778,114 sawa na asilimia 95..68
1990 Mzee Mwinyi alipata kura 5,196,120 sawa na asilimia 97.78
Mwaka 1990-1992 vuguvugu la vyama vingi likaanza likiungwa mkono na Mwalimu aliyeamini mawazo Mbadala ya wachache yanaweza yakaliponya taifa kuliko mawazo yanayofanana ya chama kimoja, Niwakumbushe vijana.....WANA CCM WENGI WALIMPINGA MWALIMU KWENYE HOJA YA VYAMA VINGI.
1995- Benjamin W. Mkapa alishinda kwa kura 4,026,422 sawa na asilimia 61.82
2000- Mzee Mkapa awamu ya pili akashinda kwa kura 5,863,201 sawa na asilimia 71.74. Uchaguzi huu ulitia dosari nchi kwa mauaji yaliyotokea Zanzibar. Rejea kitabu cha Mkapa
2005- Mzee Kikwete alishinda kwa kura 9,123,95 sawa na asilimia 80.28 ya kura zilizopigwa.
2010- Mzee Kikwete alishinda kwa kura 5,276,827 sawa na asilimia 62.83
2015- Mzee John Magufuli alipata kura 8,882,936 sawa na asilimia 58.46
2020- Mzee John Magufuli amepata kura 12,516,252 sawa na asilimia 84.40
Mwisho, Idadi ya wapiga kura waliojitokeza kwenye uchaguzi wa 2015 ilikua 15,596,110 kati ya wapiga kura 23,161,440 walioandikishwa. Mwaka 2020 wapiga kura walioandikishwa walikuwa 29,754,699 na waliopiga kura 15,091,950 pungufu ya wapiga 504,160.
Jukumu letu wazee nikuwakumbusha vijana tulipotoka, jukumu la viongozi wa dini ni kukemea maovu, jukumu la wanasiasa nikusimamia sheria si kuzipindisha. Jukumu la Watanzania nikuipigania nchi yao wakiamini hakuna nchi nyingine wenye hati miliki nayo isipokua Tanzania.
TIMIZA WAJIBU.
1970- Mwalimu JK Nyerere alishinda kwa kura 3,220,636 sawa na asilimia 96.7
1975- Mwalimu JK Nyerere alishinda kwa kura 4,172,267 sawa na asilimia 93.25
1980- Mwalimu JK Nyerere alishinda kwa kura 5,570,883 sawa na asilimia 95.50
Mwaka 1984 Mwalimu aliamua kung"atuka akiwa bado na nguvu
1985- Mzee Aly Hassan Mwinyi alishinda kwa kura 4,778,114 sawa na asilimia 95..68
1990 Mzee Mwinyi alipata kura 5,196,120 sawa na asilimia 97.78
Mwaka 1990-1992 vuguvugu la vyama vingi likaanza likiungwa mkono na Mwalimu aliyeamini mawazo Mbadala ya wachache yanaweza yakaliponya taifa kuliko mawazo yanayofanana ya chama kimoja, Niwakumbushe vijana.....WANA CCM WENGI WALIMPINGA MWALIMU KWENYE HOJA YA VYAMA VINGI.
1995- Benjamin W. Mkapa alishinda kwa kura 4,026,422 sawa na asilimia 61.82
2000- Mzee Mkapa awamu ya pili akashinda kwa kura 5,863,201 sawa na asilimia 71.74. Uchaguzi huu ulitia dosari nchi kwa mauaji yaliyotokea Zanzibar. Rejea kitabu cha Mkapa
2005- Mzee Kikwete alishinda kwa kura 9,123,95 sawa na asilimia 80.28 ya kura zilizopigwa.
2010- Mzee Kikwete alishinda kwa kura 5,276,827 sawa na asilimia 62.83
2015- Mzee John Magufuli alipata kura 8,882,936 sawa na asilimia 58.46
2020- Mzee John Magufuli amepata kura 12,516,252 sawa na asilimia 84.40
Mwisho, Idadi ya wapiga kura waliojitokeza kwenye uchaguzi wa 2015 ilikua 15,596,110 kati ya wapiga kura 23,161,440 walioandikishwa. Mwaka 2020 wapiga kura walioandikishwa walikuwa 29,754,699 na waliopiga kura 15,091,950 pungufu ya wapiga 504,160.
Jukumu letu wazee nikuwakumbusha vijana tulipotoka, jukumu la viongozi wa dini ni kukemea maovu, jukumu la wanasiasa nikusimamia sheria si kuzipindisha. Jukumu la Watanzania nikuipigania nchi yao wakiamini hakuna nchi nyingine wenye hati miliki nayo isipokua Tanzania.
TIMIZA WAJIBU.