Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Walimuona Mwenyekiti wetu mstaarabu sana na mwenye upendo kwa watu wote, wapuuzi wale wakaanza kumkejeli kumdhihaki kumtweza.
yarabi Mwenyekiti hakulelewa kwenye malezi ya aina hiyo yeye akawa mpole tu, akazidi kuwapenda mara mbili zaidi, baadae ikaonelewa vijana wanawezana kwa vijana, acha vijana wakabane koo wao kwa wao!
#Jembe lielekee wapi likamwage sumu?
#Dudukiller asisahau kuna wanaosapoti mambo ya faragha!
yarabi Mwenyekiti hakulelewa kwenye malezi ya aina hiyo yeye akawa mpole tu, akazidi kuwapenda mara mbili zaidi, baadae ikaonelewa vijana wanawezana kwa vijana, acha vijana wakabane koo wao kwa wao!
#Jembe lielekee wapi likamwage sumu?
#Dudukiller asisahau kuna wanaosapoti mambo ya faragha!