Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Arusha Saipulani .A. Ramsey amesema wao kama mkoa wanamuombea Mungu Rais Samia Ushindi wa Heshima na watanzania wote wakae tayari kuyapokea maisha mazuri katika miaka mitano mingine ya Dkt.Samia Suluhu Hassan iliafanye ile kazi ya wananchi kwa kuyapokea maisha mazuri ya kiuongozi kwa vyama vyote vya kisiasa nchini.
Soma Pia: Arusha: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: Arusha: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025