Mwenezi Mjema akutana na Wamiliki na Wakurugenzi wa vyombo vya habari

Mwenezi Mjema akutana na Wamiliki na Wakurugenzi wa vyombo vya habari

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
MWENEZI MJEMA AKUTANA NA WAMILIKI NA WAKURUGENZI WA VYOMBO VYA HABARI.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Sophia Mjema kwa nyakati tofauti jana tarehe 08 Februari, 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya wamiliki na wakurugenzi wa vyombo vya habari katika ya awamu ya kwanza ambao ni Ndg Shabani Kissu Mkurugenzi wa AMG, Uhuru Radio&UPL; Ndg Francis Siza (Majizzo) mmiliki na Mkurugenzi Mkuu wa EFM&TVE; Ndg Sheba Kusaga Mkurugenzi wa Clouds Media Group (CMG); Ndg Yahaya Mohamed Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Azam Media na Dkt Ayubu Ryoba Mkurugenzi Mkuu wa shirika la utangazaji la Taifa (TBC).

#CCMImetimia #KaziIendelee
 

Attachments

  • ded7fc60e02d47ea9c3021690a3fbd3a_329427319_192592513494846_1356977610337016104_n.jpg
    ded7fc60e02d47ea9c3021690a3fbd3a_329427319_192592513494846_1356977610337016104_n.jpg
    130.8 KB · Views: 10
  • f554ff9abf5549089867db3a49a52132_329409514_931709878271967_8157493917998828129_n.jpg
    f554ff9abf5549089867db3a49a52132_329409514_931709878271967_8157493917998828129_n.jpg
    140.7 KB · Views: 9
  • 18e5b59ba03a40ec9bf7f74089581e64_329554494_193673136678921_8833996961939165786_n.jpg
    18e5b59ba03a40ec9bf7f74089581e64_329554494_193673136678921_8833996961939165786_n.jpg
    157.3 KB · Views: 9
  • b6f6829ce91445a18e65ce7bad243e6b_329359712_137423345862832_4359448979824858478_n.jpg
    b6f6829ce91445a18e65ce7bad243e6b_329359712_137423345862832_4359448979824858478_n.jpg
    133.4 KB · Views: 5
  • 1183d18f66b042c7a3c3e5880a7e23ce_329639638_178796968218367_6144015795303984374_n.jpg
    1183d18f66b042c7a3c3e5880a7e23ce_329639638_178796968218367_6144015795303984374_n.jpg
    150.9 KB · Views: 8
  • e42ae1176d7d42eeab7dc68166cb64a5_329003775_739148994224910_4847749120177569566_n.jpg
    e42ae1176d7d42eeab7dc68166cb64a5_329003775_739148994224910_4847749120177569566_n.jpg
    128.6 KB · Views: 8
  • 8d0a5cc6fb4b42ff9e5761a19055c16a_330112894_3016428778658791_6864913741029653374_n.jpg
    8d0a5cc6fb4b42ff9e5761a19055c16a_330112894_3016428778658791_6864913741029653374_n.jpg
    149.7 KB · Views: 7
MWENEZI MJEMA AKUTANA NA WAMILIKI NA WAKURUGENZI WA VYOMBO VYA HABARI.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Sophia Mjema kwa nyakati tofauti jana tarehe 08 Februari, 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya wamiliki na wakurugenzi wa vyombo vya habari katika ya awamu ya kwanza ambao ni Ndg Shabani Kissu Mkurugenzi wa AMG, Uhuru Radio&UPL; Ndg Francis Siza (Majizzo) mmiliki na Mkurugenzi Mkuu wa EFM&TVE; Ndg Sheba Kusaga Mkurugenzi wa Clouds Media Group (CMG); Ndg Yahaya Mohamed Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Azam Media na Dkt Ayubu Ryoba Mkurugenzi Mkuu wa shirika la utangazaji la Taifa (TBC).

#CCMImetimia #KaziIendelee
Hivyo ni vikao muhimu sana vya familiarization visits. Vitafuatiwa na familiarization tour.
P
 
Karibu pia huku JF, huku kila kitu hadharani, hakuna mazuria ya kuhifadhi uchafu!
 
MWENEZI MJEMA AKUTANA NA WAMILIKI NA WAKURUGENZI WA VYOMBO VYA HABARI.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Sophia Mjema kwa nyakati tofauti jana tarehe 08 Februari, 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya wamiliki na wakurugenzi wa vyombo vya habari katika ya awamu ya kwanza ambao ni Ndg Shabani Kissu Mkurugenzi wa AMG, Uhuru Radio&UPL; Ndg Francis Siza (Majizzo) mmiliki na Mkurugenzi Mkuu wa EFM&TVE; Ndg Sheba Kusaga Mkurugenzi wa Clouds Media Group (CMG); Ndg Yahaya Mohamed Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Azam Media na Dkt Ayubu Ryoba Mkurugenzi Mkuu wa shirika la utangazaji la Taifa (TBC).

#CCMImetimia #KaziIendelee
Nke wa Bosnia huyo
 
Kwanini wanaogopa kwenda moja kwa moja kuongea na watanzania, badala yake wanaongea nao kupitia vyombo vya habari?

Msitudanganye ndio vizuri mtawafikia wengi kwa wakati mmoja, nyie mna pesa nyingi za ruzuku, matatizo ya wananchi hayafanani, nendeni mkasikilize kero zao field, waache uoga.
 
MWENEZI MJEMA AKUTANA NA WAMILIKI NA WAKURUGENZI WA VYOMBO VYA HABARI.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Sophia Mjema kwa nyakati tofauti jana tarehe 08 Februari, 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya wamiliki na wakurugenzi wa vyombo vya habari katika ya awamu ya kwanza ambao ni Ndg Shabani Kissu Mkurugenzi wa AMG, Uhuru Radio&UPL; Ndg Francis Siza (Majizzo) mmiliki na Mkurugenzi Mkuu wa EFM&TVE; Ndg Sheba Kusaga Mkurugenzi wa Clouds Media Group (CMG); Ndg Yahaya Mohamed Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Azam Media na Dkt Ayubu Ryoba Mkurugenzi Mkuu wa shirika la utangazaji la Taifa (TBC).

#CCMImetimia #KaziIendelee
CCM ni chama cha siasa kinachoshinda uchaguzi hata kabla ya mwaka wa upigaji kura - Hongera sana Mjema
 
Back
Top Bottom