MWENGE tujisogeze

Jaman kesho naanza safar ya kuja mosh ni mara yangu ya kwanza kukanyaga huo mkoa so wenyej kaen mkao wa kupokea mgan but msinitie changu kwasababu nimewaambia mgen. Nitakuja na meridian

Karibu sana mkuu
 
Kama hujaanza safar ya kuja jipange ndugu na kama mambo mabaya usiogope sana kama ukiweza ubish unaish tu maana kuna chakula had 1000/=
Malaz hayana suluhu ndugu
 
leo nilienda Notice Board kusoma ratiba na course zinazonihusu.
 
Vp huko tuliokuwa tumekosea kufanya application then tupo ile 3rd trial fununu zinasemaje? maana bado wengine nipo njia panda ila ilitupia hapo chaguo langu.msaada plz
 
Tulipishana kidogo sana maana mi nimefika hapo board zaid ya mara3

Umechukua yap Emhegele?
 
wadau mmeanza lisongesha book ama bado mchakato mwenzenu bado nipo kijijin
 
Ndgu kinyaaa pindi tunalisongesha xana tuu!! Af vpnd vipo tyt hadi saa12:30.
Ila mwanangu be pashent xubiria muda wako ukifika utascsz!
 
Vp huko tuliokuwa tumekosea kufanya application then tupo ile 3rd trial fununu zinasemaje? maana bado wengine nipo njia panda ila ilitupia hapo chaguo langu.msaada plz

sijapata taarifa! Labda tumuulize Young Ticha
 
Ndgu kinyaaa pindi tunalisongesha xana tuu!! Af vpnd vipo tyt hadi saa12:30.
Ila mwanangu be pashent xubiria muda wako ukifika utascsz!

duh kweli lazima mtu azimie maana huo mchakamchaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…