DOKEZO Mwenge umekuwa mwiba mkali kwa Walimu Wakuu Halmashauri ya Momba. Wanalazimishwa kutoa mchango kwa vitisho

DOKEZO Mwenge umekuwa mwiba mkali kwa Walimu Wakuu Halmashauri ya Momba. Wanalazimishwa kutoa mchango kwa vitisho

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
1. Mwalimu Mkuu asipotoa mchango wowote anatishiwa kuvuliwa madaraka au kunyanyaswa kwa jambo lolote lile.

2. DEO wa Halmashauri hii ni mtu wa kuwatishia tu walimu na kuwalazimisha kutoa michango bila utaratibu.

3. Posho ya Mwalimu mkuu imekuwa kama fimbo ya kuwachapia hao walimu wakuu na kupelekea kila mchango wanamtupia Mwalimu mkuu.

4. Je, kama Mwenge unatengewa bajeti sasa hizi pesa zinaenda wapi?

5. Je, kuna uhakika gani kama hizo pesa zinaenda kwenye mwenge ikiwa hakuna uwazi na ushahidi katika ukusanyaji wa hizo pesa?

6. Kwanini MAAFISA ELIMU KATA kutoka kila Kata wapewe kazi ya kukusanya hizi pesa badala ya michango hii kulipwa kwenye Akaunti ya Halmshauri kama kweli ni halali?

Screenshot_20240728-223712.png



Pia soma
 
Kinachoshangaza sasa huo Mwenge wenyewe ni useless tu. Hakuna sababu ya kuwasumbua watu kuchangia kitu ambacho hakina tija yoyote ile kwenye dunia ya sasa.

I wish ningekuwa Rais! Hakika ningeamrisha mara moja ukawekwe kwenye jumba la Taifa la Makumbusho.
 
1. Mwalimu Mkuu asipotoa mchango wowote anatishiwa kuvuliwa madaraka au kunyanyaswa kwa jambo lolote lile.

2. DEO wa Halmashauri hii ni mtu wa kuwatishia tu walimu na kuwalazimisha kutoa michango bila utaratibu.

3. Posho ya Mwalimu mkuu imekuwa kama fimbo ya kuwachapia hao walimu wakuu na kupelekea kila mchango wanamtupia Mwalimu mkuu.

4. Je, kama Mwenge unatengewa bajeti sasa hizi pesa zinaenda wapi?

5. Je, kuna uhakika gani kama hizo pesa zinaenda kwenye mwenge ikiwa hakuna uwazi na ushahidi katika ukusanyaji wa hizo pesa?

6. Kwanini MAAFISA ELIMU KATA kutoka kila Kata wapewe kazi ya kukusanya hizi pesa badala ya michango hii kulipwa kwenye Akaunti ya Halmshauri kama kweli ni halali?

View attachment 3055531


Pia soma
1.Kubisha kuchangia mwenge ni uhaini
2. Kuhoji kuhusu kuchangia mwenge ni uhaini
Uzalendo ni kuchangia mwenge kwa maendeleo ya taifa mwenge wa uhuru kwa jamhuri ya muungano wa tz
 
1. Mwalimu Mkuu asipotoa mchango wowote anatishiwa kuvuliwa madaraka au kunyanyaswa kwa jambo lolote lile.

2. DEO wa Halmashauri hii ni mtu wa kuwatishia tu walimu na kuwalazimisha kutoa michango bila utaratibu.

3. Posho ya Mwalimu mkuu imekuwa kama fimbo ya kuwachapia hao walimu wakuu na kupelekea kila mchango wanamtupia Mwalimu mkuu.

4. Je, kama Mwenge unatengewa bajeti sasa hizi pesa zinaenda wapi?

5. Je, kuna uhakika gani kama hizo pesa zinaenda kwenye mwenge ikiwa hakuna uwazi na ushahidi katika ukusanyaji wa hizo pesa?

6. Kwanini MAAFISA ELIMU KATA kutoka kila Kata wapewe kazi ya kukusanya hizi pesa badala ya michango hii kulipwa kwenye Akaunti ya Halmshauri kama kweli ni halali?

View attachment 3055531


Pia soma
Na kwa taarifa yenu wote mnaohoji kuhusu mwege taarifa zenu tunazo watendaji wa kata mitaa wote wamechangia laki moja moja
 
Kinachoshangaza sasa huo Mwenge wenyewe ni useless tu. Hakuna sababu ya kuwasumbua watu kuchangia kitu ambacho hakina tija yoyote ile kwenye dunia ya sasa.

I wish ningekuwa Rais! Hakika ningeamrisha mara moja ukawekwe kwenye jumba la Taifa la Makumbusho.
ukute labda huo mwenge una dawa ya kupumbaza kila unapopitishwa ndo maana mwenge hauruki kijiji utapita nchi zima tunakuwa mazombi mambo ya kipuuzi yanafanywa na viongozi na hatuna cha kuwafanya.

mimi niko nchi jirani ndo maana akili zimenisogea nimeona niwashtue.
 
1. Mwalimu Mkuu asipotoa mchango wowote anatishiwa kuvuliwa madaraka au kunyanyaswa kwa jambo lolote lile.

2. DEO wa Halmashauri hii ni mtu wa kuwatishia tu walimu na kuwalazimisha kutoa michango bila utaratibu.

3. Posho ya Mwalimu mkuu imekuwa kama fimbo ya kuwachapia hao walimu wakuu na kupelekea kila mchango wanamtupia Mwalimu mkuu.

4. Je, kama Mwenge unatengewa bajeti sasa hizi pesa zinaenda wapi?

5. Je, kuna uhakika gani kama hizo pesa zinaenda kwenye mwenge ikiwa hakuna uwazi na ushahidi katika ukusanyaji wa hizo pesa?

6. Kwanini MAAFISA ELIMU KATA kutoka kila Kata wapewe kazi ya kukusanya hizi pesa badala ya michango hii kulipwa kwenye Akaunti ya Halmshauri kama kweli ni halali?

View attachment 3055531


Pia soma
 

Attachments

  • IMG-20240729-WA0003.jpg
    IMG-20240729-WA0003.jpg
    26.9 KB · Views: 9
1. Mwalimu Mkuu asipotoa mchango wowote anatishiwa kuvuliwa madaraka au kunyanyaswa kwa jambo lolote lile.

2. DEO wa Halmashauri hii ni mtu wa kuwatishia tu walimu na kuwalazimisha kutoa michango bila utaratibu.

3. Posho ya Mwalimu mkuu imekuwa kama fimbo ya kuwachapia hao walimu wakuu na kupelekea kila mchango wanamtupia Mwalimu mkuu.

4. Je, kama Mwenge unatengewa bajeti sasa hizi pesa zinaenda wapi?

5. Je, kuna uhakika gani kama hizo pesa zinaenda kwenye mwenge ikiwa hakuna uwazi na ushahidi katika ukusanyaji wa hizo pesa?

6. Kwanini MAAFISA ELIMU KATA kutoka kila Kata wapewe kazi ya kukusanya hizi pesa badala ya michango hii kulipwa kwenye Akaunti ya Halmshauri kama kweli ni halali?

View attachment 3055531


Pia soma
Ukiona hivyo basi Kifo cha Mwenge hakiko mbali.
 
1. Mwalimu Mkuu asipotoa mchango wowote anatishiwa kuvuliwa madaraka au kunyanyaswa kwa jambo lolote lile.

2. DEO wa Halmashauri hii ni mtu wa kuwatishia tu walimu na kuwalazimisha kutoa michango bila utaratibu.

3. Posho ya Mwalimu mkuu imekuwa kama fimbo ya kuwachapia hao walimu wakuu na kupelekea kila mchango wanamtupia Mwalimu mkuu.

4. Je, kama Mwenge unatengewa bajeti sasa hizi pesa zinaenda wapi?

5. Je, kuna uhakika gani kama hizo pesa zinaenda kwenye mwenge ikiwa hakuna uwazi na ushahidi katika ukusanyaji wa hizo pesa?

6. Kwanini MAAFISA ELIMU KATA kutoka kila Kata wapewe kazi ya kukusanya hizi pesa badala ya michango hii kulipwa kwenye Akaunti ya Halmshauri kama kweli ni halali?

View attachment 3055531


Pia soma
 

Attachments

  • IMG-20240729-WA0001.jpg
    IMG-20240729-WA0001.jpg
    23.9 KB · Views: 8
Back
Top Bottom