A
Anonymous
Guest
1. Mwalimu Mkuu asipotoa mchango wowote anatishiwa kuvuliwa madaraka au kunyanyaswa kwa jambo lolote lile.
2. DEO wa Halmashauri hii ni mtu wa kuwatishia tu walimu na kuwalazimisha kutoa michango bila utaratibu.
3. Posho ya Mwalimu mkuu imekuwa kama fimbo ya kuwachapia hao walimu wakuu na kupelekea kila mchango wanamtupia Mwalimu mkuu.
4. Je, kama Mwenge unatengewa bajeti sasa hizi pesa zinaenda wapi?
5. Je, kuna uhakika gani kama hizo pesa zinaenda kwenye mwenge ikiwa hakuna uwazi na ushahidi katika ukusanyaji wa hizo pesa?
6. Kwanini MAAFISA ELIMU KATA kutoka kila Kata wapewe kazi ya kukusanya hizi pesa badala ya michango hii kulipwa kwenye Akaunti ya Halmshauri kama kweli ni halali?
Pia soma
2. DEO wa Halmashauri hii ni mtu wa kuwatishia tu walimu na kuwalazimisha kutoa michango bila utaratibu.
3. Posho ya Mwalimu mkuu imekuwa kama fimbo ya kuwachapia hao walimu wakuu na kupelekea kila mchango wanamtupia Mwalimu mkuu.
4. Je, kama Mwenge unatengewa bajeti sasa hizi pesa zinaenda wapi?
5. Je, kuna uhakika gani kama hizo pesa zinaenda kwenye mwenge ikiwa hakuna uwazi na ushahidi katika ukusanyaji wa hizo pesa?
6. Kwanini MAAFISA ELIMU KATA kutoka kila Kata wapewe kazi ya kukusanya hizi pesa badala ya michango hii kulipwa kwenye Akaunti ya Halmshauri kama kweli ni halali?
Pia soma