ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Mwenge wa uhuru tunavouchukulia inaweza ikawa tofauti na tunavyodhani. Nadhani viongozi wa mbio za Mwenge wanaenda ku report Kwa Rais mambo mazito, hawajali Mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya, mkurugenzi n.k. Wao wakikuta mambo ya ovyo wanakulipua juu.
Mwenge kesho unaingia Ukerewe ila viongozi wanawasha taa usiku na mafundi wamalizie soko na miradi mingine
Mwanza mjini ndo hatari viongozi wa serikali wanahaha wakihofia Mwenge Huu utendaji wa kinafiki wanaoonesha Kwa Sasa ungekuwa hivi siku zote tungekuwa mbali. Sio tungoje mambo ndo viongozi wateule watoke maofisini.
Soma Pia: Toka nakua na mpaka sasa sioni faida ya Mwenge wa Uhuru
Mwenge kesho unaingia Ukerewe ila viongozi wanawasha taa usiku na mafundi wamalizie soko na miradi mingine
Mwanza mjini ndo hatari viongozi wa serikali wanahaha wakihofia Mwenge Huu utendaji wa kinafiki wanaoonesha Kwa Sasa ungekuwa hivi siku zote tungekuwa mbali. Sio tungoje mambo ndo viongozi wateule watoke maofisini.
Soma Pia: Toka nakua na mpaka sasa sioni faida ya Mwenge wa Uhuru