Mwenge unafaida gani wakati kuna mkaguzi mkuu wa serikali

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Mwenge ulitakiwa kuisha tokea kipindi cha nyerere. Ila naona mwenge ni kumaliza pesa za walala hoi tu.
Majukumu ya mwenge ni yamebeba majukumu ya mkaguzi mkuu ambayo ni wajibu wake. Mwenge unafata nini tena unachukuwa machokoraa wa ccm
 
wapumzishe kidogo mkuu maana umewakamia sana
 
kuiba hela za serikali na walimu kila mwaka na kuzipeleka CCM kwa kisingizio cha kuendesha shughuli za mwenge
 
π‘€π‘˜π‘’π‘’ π‘‘π‘’π‘˜π‘œ π‘˜π‘€π‘’π‘›π‘¦π‘’ π‘›π‘β„Žπ‘– π‘–π‘›π‘Žπ‘¦π‘œ π‘Žπ‘šπ‘–π‘›π‘– π‘’π‘β„Žπ‘Žπ‘€π‘–.
 
Mwenge ulitakiwa kuisha tokea kipindi cha nyerere. Ila naona mwenge ni kumaliza pesa za walala hoi tu.
Majukumu ya mwenge ni yamebeba majukumu ya mkaguzi mkuu ambayo ni wajibu wake. Mwenge unafata nini tena unachukuwa machokoraa wa ccm
Kwa mijini yes ila kwa vijijini that’s big big deal, kuna maeneo hata gari kufika shughuli sana,na km sio mwenge kusingekua na maendeleo yoyote,Nafikiri hujatembea wewe unapita mijini tu ukienda mikoani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…