Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
kwani tatizo liko wapi hapo?
weken registration number
Chuo kinaendeshwa kama shule ya msingi ,
leo nimeenda kwenye hiki chuo ninayoyaona ni aibu sana ,nimeenda kwenye noticeboard yao nikakuta matokeo yamebandikwa kwa majina kabisaa ,hizo G.P.Asasa ni hatari ni mafirst class na maupper second tu nimeamini hiki ni chuo cha kata,
Chuo kinaendeshwa kama shule ya msingi ,
Inaleta aibu eti matokeo yanatoka kwa majina
Nimehudhuria lecture yao moja ya EDU dah lecturer anafundisha kama mwalimu wa shule ya msingi
Hicho chuo kipo chini ya kanisa lakin kinaongoza kwa malectural kuwataka wananchi wawahonge rushwa ngono ili wafauli mitihani n wanafunz kibao wameham hapo kwa sabab hiyo na lectural mmoja ambaye nae nimiongoni mwenye tabia hiyo ameoa mwezi huuu...[/QU
Wananchi sio wanachuo?sasa wananchi watafaulu vipi wakati wanaosoma pale si wananchi ni wanachuo.Wanaohama wengi wao wamecarry.Hayo mambo ya ngono kwa vyuo vikuu vya bongo mbona ni mambo ya kawaida sana.Pale UDSM kuna bwana mmoja sasa ivi ni mkuu wa wilaya kawalamba sana,Ni udhaifu wa awa Dada zetu kupenda mteremko,kwa hapa Mwenge hakuna hicho kitu.Na kwa Ushaidi ungesema huyo lecture ni wa somo gani?.Nafikiri umenielewa na inaonyesha kweli wewe unatumia mihadarati sawa na hilo jina lako na ndo maana unatuletea stori za kwenye mihadarati.
leo nimeenda kwenye hiki chuo ninayoyaona ni aibu sana ,nimeenda kwenye noticeboard yao nikakuta matokeo yamebandikwa kwa majina kabisaa ,hizo G.P.Asasa ni hatari ni mafirst class na maupper second tu nimeamini hiki ni chuo cha kata,
Huyu jamaa mara anasema kachaguliwa Mkwawa mara Mwenge sijui wa wapi??Huyu kichaa mpigamsuli wa wapi huyu? Maana haeleweki ukichek post zake zinachanganya sana, yaan ni kama akili hana vilevile kichaaa pia hana loh!,