Hicho chuo kipo chini ya kanisa lakin kinaongoza kwa malectural kuwataka wananchi wawahonge rushwa ngono ili wafauli mitihani n wanafunz kibao wameham hapo kwa sabab hiyo na lectural mmoja ambaye nae nimiongoni mwenye tabia hiyo ameoa mwezi huuu...[/QU
Wananchi sio wanachuo?sasa wananchi watafaulu vipi wakati wanaosoma pale si wananchi ni wanachuo.Wanaohama wengi wao wamecarry.Hayo mambo ya ngono kwa vyuo vikuu vya bongo mbona ni mambo ya kawaida sana.Pale UDSM kuna bwana mmoja sasa ivi ni mkuu wa wilaya kawalamba sana,Ni udhaifu wa awa Dada zetu kupenda mteremko,kwa hapa Mwenge hakuna hicho kitu.Na kwa Ushaidi ungesema huyo lecture ni wa somo gani?.Nafikiri umenielewa na inaonyesha kweli wewe unatumia mihadarati sawa na hilo jina lako na ndo maana unatuletea stori za kwenye mihadarati.