KANCHI
JF-Expert Member
- Sep 3, 2011
- 1,532
- 230
leo nimeenda kwenye hiki chuo ninayoyaona ni aibu sana ,nimeenda kwenye noticeboard yao nikakuta matokeo yamebandikwa kwa majina kabisaa ,hizo G.P.Asasa ni hatari ni mafirst class na maupper second tu nimeamini hiki ni chuo cha kata,
Wanaweza kufikia kam Mbezi Afrikana.