Umerogwa wewe siyo bureLeo tarehe 02 April 2022 Mwenge wa Uhuru unawasha Mjini Njombe. Makamu wa Rais Dr Philip Mpango (PhD) na Waziri mwenye dhamana Prof Ndalichako (PhD) wanatoa hotuba zilizojaa Elimu na Maelekezo sahihi. Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Kwani hutaki kumuunga mkono mama?Umerogwa wewe siyo bure
MWENGE wenye ALAMA ya UPENDO ulikuwa wa NYERERE Mwenge huu wa Sasa ni Wa CHUKI VISASI na KUBAMBIKIANA KESI hauna UPENDO kabisa Miongoni mwa WANANCHILeo tarehe 02 April 2022 Mwenge wa Uhuru unawasha Mjini Njombe. Makamu wa Rais Dr Philip Mpango (PhD) na Waziri mwenye dhamana Prof Ndalichako (PhD) wanatoa hotuba zilizojaa Elimu na Maelekezo sahihi. Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Leo tarehe 02 April 2022 Mwenge wa Uhuru unawasha Mjini Njombe. Makamu wa Rais Dr Philip Mpango (PhD) na Waziri mwenye dhamana Prof Ndalichako (PhD) wanatoa hotuba zilizojaa Elimu na Maelekezo sahihi. Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Wewe upo nchi jirani?
Unachojivunia kitu gani?Tunajivunia Mwenge uliopandushwa juu kabisa ya Mlima Kilimanjaro tarehe 09.12. 1961