Itakusaidia nini maishani mwako?Mwenge utakimbizwa nchi nzima siku takribani 190
NonsenseTunajivunia Mwenge uliopandushwa juu kabisa ya Mlima Kilimanjaro tarehe 09.12. 1961
MichooshoooUzalendo
Tuuenzi mwenge
Kabisa yaani ! leo Mwenge wa Uhuru umezindua GESTITuuenzi mwenge
UZALENDO NI PAMOJA NA KUIHESHIMU KATIKA TULIYOAPA KUILINDA NA KUITETEALeo tarehe 02 April 2022 Mwenge wa Uhuru unawasha Mjini Njombe. Makamu wa Rais Dr Philip Mpango (PhD) na Waziri mwenye dhamana Prof Ndalichako (PhD) wanatoa hotuba zilizojaa Elimu, Hekima na Maelekezo sahihi. Kidumu Chama Cha Mapinduzi