Picha linaanza baadhi yao hawajui kuimba wimbo wa taifa hapo😂😂🤣 watakuwa wanajua maana/umuhimu wa zoezi hilo kweli?Wakuu,
Mbio za mwenge zilihitimishwa tar 14, Oktoba na wakimbiza mwenge huo kutakiwa kukamilisha zoezi hilo kwa kufika katika kelele cha mlima huo pamoja na kuweka bendera ya taifa.
Wajuba walikamilisha zoezi na hapa wanaimba wimbo wa taifa kwa uzalendo mkubwa uliotukuka!
Pia soma: Rais Samia akishiriki kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukizi ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere
Kuweka hicho kibatari hapo mlimani utakuta budget yake ni zaidi ya 1BWakitoka hapo mifuko imetuna!
Tunatia aibu tupuPicha linaanza baadhi yao hawajui kuimba wimbo wa taifa hapo😂😂🤣 watakuwa wanajua maana/umuhimu wa zoezi hilo kweli?
Usiniulize mimi, mi mwenyewe sijui!
Wasituletee nuksi huku Kilimanjaro! Hayo ni madhabahu ya kishetani!Hivi hili tukio hufanyika Kila Mwaka ama ni Mwaka huu pekee wameamua kwenda kuzimia Mlima Kilimanjaro?
By the way, Kila la heri Mama Tanzania 👊
Hahaha .........itakuwa sio mara ya kwanza kuja huko KilimanjaroWasituletee nuksi huku Kilimanjaro! Hayo ni madhabahu ya kishetani!
Wakuu,
Mbio za mwenge zilihitimishwa tar 14, Oktoba na wakimbiza mwenge huo kutakiwa kukamilisha zoezi hilo kwa kufika katika kelele cha mlima huo pamoja na kuweka bendera ya taifa.
Wajuba walikamilisha zoezi na hapa wanaimba wimbo wa taifa kwa uzalendo mkubwa uliotukuka!
Pia soma: Rais Samia akishiriki kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukizi ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere
Laana tupu juu ya nchi.Wakuu,
Mbio za mwenge zilihitimishwa tar 14, Oktoba na wakimbiza mwenge huo kutakiwa kukamilisha zoezi hilo kwa kufika katika kelele cha mlima huo pamoja na kuweka bendera ya taifa.
Wajuba walikamilisha zoezi na hapa wanaimba wimbo wa taifa kwa uzalendo mkubwa uliotukuka!
Pia soma: Rais Samia akishiriki kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukizi ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere
Hongera nyingi sana kwa makamanda wetu. Tunajivunia jeshi letu.Wakuu,
Mbio za mwenge zilihitimishwa tar 14, Oktoba na wakimbiza mwenge huo kutakiwa kukamilisha zoezi hilo kwa kufika katika kelele cha mlima huo pamoja na kuweka bendera ya taifa.
Wajuba walikamilisha zoezi na hapa wanaimba wimbo wa taifa kwa uzalendo mkubwa uliotukuka!
Pia soma: Rais Samia akishiriki kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukizi ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere
Wakila wanajeshi hatuna baya!Hii ni activity ya kupiga pesa za umma kwa hii serikali ya kifisadi na dhalimu
Hlafu kesho unasikia mabeberu hawataki tuendelee.Kuweka hicho kibatari hapo mlimani utakuta budget yake ni zaidi ya 1B
Siku tupate rais Ambae ataacha haya mamboHivi hili tukio hufanyika Kila Mwaka ama ni Mwaka huu pekee wameamua kwenda kuzimia Mlima Kilimanjaro?
By the way, Kila la heri Mama Tanzania 👊