Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hayati JPM alitaka kuufuta lakini alizidiwa maarifaSiku tupate rais Ambae ataacha haya mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayati JPM alitaka kuufuta lakini alizidiwa maarifaSiku tupate rais Ambae ataacha haya mambo
Yes ,mambo ya Giza 😌Hayati JPM alitaka kuufuta lakini alizidiwa maarifa
Uchochoro wa kuchochora pesa za umma babu😅Hivi hili tukio hufanyika Kila Mwaka ama ni Mwaka huu pekee wameamua kwenda kuzimia Mlima Kilimanjaro?
By the way, Kila la heri Mama Tanzania 👊
Nakazia *Hii ni activity ya kupiga pesa za umma kwa hii serikali ya kifisadi na dhalimu
sawaNakazia *
Huu Ndiyo Ukweli
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Ila Mwenge haunaga Bajeti isipokuwa michango ya WadauUchochoro wa kuchochora pesa za umma babu😅
Kwahiyo ukiwa Rais wetu utaweza kuufuta Mjukuu?Yes ,mambo ya Giza 😌
Yupo mwenye mamlaka,aliyeiumba mbingu na nchi!Kwahiyo ukiwa Rais wetu utaweza kuufuta Mjukuu?
Unaweza kutolewa macho na waliouweka 😜
Wakifika hapo kileleni walitakiwa wauwashe na siyo kuuzima. Kuzima mwenge kileleni mwa Kilimanjaro kuna maana mbaya katika matambiko ya Kichagga. Ndiyo maana nchi ina gundu haiendeleiHivi hili tukio hufanyika Kila Mwaka ama ni Mwaka huu pekee wameamua kwenda kuzimia Mlima Kilimanjaro?
By the way, Kila la heri Mama Tanzania 👊
Hahaha............ haya kama utaweza, Fanya mpango wa Kiko basi Mjukuu 😜Yupo mwenye mamlaka,aliyeiumba mbingu na nchi!
Hiyo ni miungu tu
Ina maana gani Mkuu ili tusio wachagga tuelewe, huenda tukapata nafasi ya kushauri mbele ya safari 🙏Wakifika hapo kileleni walitakiwa wauwashe na siyo kuuzima. Kuzima mwenge kileleni mwa Kilimanjaro kuna maana mbaya katika matambiko ya Kichagga. Ndiyo maana nchi ina gundu haiendelei
Mshana Jr
Kuzima moto katika mila za Wachagga ni kitendo kinachofanyika wakati wa msiba au kifo cha mpendwa. Katika mila hizi, "kuzima moto" kuna maana ya kusitisha au kumaliza shughuli zinazohusiana na maisha ya kawaida ya nyumbani, hasa zile zinazohusiana na kupika au kuwasha moto kwa shughuli za kila siku. Ni ishara ya heshima kwa aliyefariki, na ni sehemu ya kuomboleza kifo cha mtu muhimu katika jamii au familia.Ina maana gani Mkuu ili tusio wachagga tuelewe, huenda tukapata nafasi ya kushauri mbele ya safari 🙏
Shukrani Kwa Elimu hii MkuuKuzima moto katika mila za Wachagga ni kitendo kinachofanyika wakati wa msiba au kifo cha mpendwa. Katika mila hizi, "kuzima moto" kuna maana ya kusitisha au kumaliza shughuli zinazohusiana na maisha ya kawaida ya nyumbani, hasa zile zinazohusiana na kupika au kuwasha moto kwa shughuli za kila siku. Ni ishara ya heshima kwa aliyefariki, na ni sehemu ya kuomboleza kifo cha mtu muhimu katika jamii au familia.
Kuzima moto mara nyingi hufanywa kama sehemu ya taratibu za mazishi na inaashiria kwamba nyumba hiyo imepoteza mmoja wa wapendwa wake, hivyo maisha hayawezi kuendelea kama kawaida hadi taratibu za maombolezo zitakapokamilika. Wakati mwingine, moto unaweza kuwashwa tena baada ya kipindi maalum cha kuomboleza au baada ya ibada za mazishi kukamilika, ishara ya kurudi katika hali ya kawaida ya maisha.
Katika baadhi ya familia za Kichagga, kunaweza kuwa na matendo maalum au ibada zinazohusiana na kuzima moto, na kwa kawaida kitendo hiki hufanywa na mtu wa ukoo au mzee mwenye mamlaka kwenye familia.
Wakuu,
Mbio za mwenge zilihitimishwa tar 14, Oktoba na wakimbiza mwenge huo kutakiwa kukamilisha zoezi hilo kwa kufika katika kelele cha mlima huo pamoja na kuweka bendera ya taifa.
Wajuba walikamilisha zoezi na hapa wanaimba wimbo wa taifa kwa uzalendo mkubwa uliotukuka!
Pia soma: Rais Samia akishiriki kilele cha Mbio za Mwenge na Kumbukizi ya Miaka 25 ya kifo cha Hayati Mwalimu Nyerere