Mwenge wa Uhuru wafikishwa kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, waimba Wimbo wa Taifa

..upumbavu mtupu.

..inatusaidia nini kupeleka mwenge kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro?

..Ni matumizi mabaya ya kodi.
Wanatuletea mikosi na kuharibu mazingira tu. Hakuna kingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…