Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Naonaga kama hiki kilimo ni hatar kutokana na kua papai inaharibika haraka . Na pia haina matumizi mengi kama vile juice, au kuliwa mara nyingi ukilinganisha na matunda mengine
soko lake likoje,,? Hayaozei shambani kweli
soko lake likoje,,? Hayaozei shambani kweli