alexjosephat
Member
- Feb 8, 2020
- 31
- 32
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sentensi yako imenipa ukakasi mkuu, umeulizia yupo tasnia gani, alafu ukaorodhesha tasnia baadhi....nimeona uchawa, ndio najiuliza ni tasnia pia sikuhzi??YUKO KWENYE TASNIA GANI MKUU?CELEBRITY, CHAWA,MWANASIASA AU???
Sifa zote anazoKama unamjua huyu mdada anaoteka Wapi tuambizaneView attachment 1712205View attachment 1712206
Anaweza kutuma mpka ya kutolea alafu akakutana na mtu atakayempa mara 10 ya alichotuma some time tujuege kuwa siyo kila mwanamke aliyepo mtandaoni anajiuzaKama unamjua huyu au umewahi kumuona sehemu tuambizane maana kuna mtu katuma na yakutolea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uko Tanzania
Mbona yupo viwango vya amateur hata mwajuma ndala ndefu anamzidiKama unamjua huyu au umewahi kumuona sehemu tuambizane maana kuna mtu katuma na yakutolea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uko Tanzania
Nataka ajue ukwel make huyu kaambiwa huyo manzi anaishi mwanza af mwambA alotuma na yakutolea anaishi msumbiji [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ameruhusu picha zitumwe humu maana mihemko huwa sio mizuri
VXR-V8 lazima uwe nalo, vinginevyo mali sio yako.utakua mshika pembeWadau kuna anae mjua huyu manzi maana tangia jana nimemsibili ubungo hapa hatokei anasema nakuja anatokea singida yani nshaangaika kwel yan au nimeingia cha kike maana nimetuma na yajutolea[emoji857][emoji857][emoji857][emoji857] kama sio wa bongo niambie nikaendekee kuzibua zangu vyoo + mitaro tujuzane
Wewe kwel auNimefanya naye kazi supermarket ya Target. Alikua anakaa Mabibo sijui kama bado yupo huko, supermarket ilielekea kufilisika tukapigwa chini baadhi yeye alibaki.
Kamuulizie.
Kama nshawah kumuona kwny video za kikubwa zile..ngoja nipekue folder langu