Mwenye clip ya basi la Simba likirudi kinyume maeneo tofauti atume

Mwenye clip ya basi la Simba likirudi kinyume maeneo tofauti atume

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Waswahili wanapenda sana kukomalia mambo ma hata pale ushahidi ukiwa hafifu au wakiletewa ushahidi tofauti na wanachotaka kuamini, wanakuwa wagumu kukubali.

Nimeona clip inayosambaa ya basi la Simba likirudi kinyume katika mtaa mmoja mwembamba. Kwanza sielewi kinachoshangaza nini kwa gari kurudi reverse. Niwakumbushe tu hii technology ya reverse imekuwepo kwenye magari kwa miaka mingi sana na inatumika kila siku. Sasa hivi tu unaposoma huu uzi kuna magari mengi tu muda huu yanaenda kinyumenyume. Kingine tena ukiangalia clip hiyo inayosambaa ni katika mtaa ambao ni wazi hilo basi lilikuwa linaenda kugeuza.

Wengine wamediriki kusema hilo basi limeendeshwa hivyo siku ya jana kutokea Bunju hadi Uwanja wa Taifa na kuna watu kabisa wanaamini hivyo.

Sasa ili tukate mzizi wa fitna ili tuachane na hili tuongelee mambo mengine ya maana, embu tumeni clip nyingine ikionyesha basi hilo likipita eneo tofauti na hapo likiwa bado linaendeshwa hivyo au clip ya eneo hilo hilo lakini linapita eneo ambapo lingeweza kugeuza lakini halifanyi hivyo.

UPDATE: Ni wazi hakuna mtu mwenye clip zaidi ya hiyo kwa hiyo hii mada tumeifunga rasmi. Kuna mada za kijinga ukizijadili zinapunguza uwezo wako wa akili.

UPDATE 2:
Video ya Saleh Jembe akitoa maelezo kutoka eneo la tukio.

 
Waswahili wanapenda sana kukomalia mambo ma hata pale ushahidi ukiwa hafifu au wakiletewa ushahidi tofauti na wanachotaka kuamini, wanakuwa wagumu kukubali.

Nimeona clip inayosambaa ya basi la Simba likirudi kinyume katika mtaa mmoja mwembamba. Kwanza sielewi kinachoshangaza nini kwa gari kurudi reverse. Niwakumbushe tu hii technology ya reverse imekuwepo kwenye magari kwa miaka mingi sana na inatumika kila siku. Sasa hivi tu unaposoma huu uzi kuna magari mengi tu muda huu yanaenda kinyumenyume. Kingine tena ukiangalia clip hiyo inayosambaa ni katika mtaa ambao ni wazi hilo basi lilikuwa linaenda kugeuza.

Wengine wamediriki kusema hilo basi limeendeshwa hivyo siku ya jana kutokea Bunju hadi Uwanja wa Taifa na kuna watu kabisa wanaamini hivyo.

Sasa ili tukate mzizi wa fitna ili tuachane na hili tuongelee mambo mengine ya maana, embu tumeni clip nyingine ikionyesha basi hilo likipita eneo tofauti na hapo likiwa bado linaendeshwa hivyo au clip ya eneo hilo hilo lakini linapita eneo ambapo lingeweza kugeuza lakini halifanyi hivyo.
.
Screenshot_20230219-141202_Instagram%20Lite.jpg
 
Ukiona mtu aliyekuzidi uwezo anajaribu kukuzoea zoea ujue una kitu. Raja hajafanya hivi kwa timu yoyote nyingine zaidi ya Simba.

Mara ya mwisho nyie mmecheza na waarabu taifa pale mliwamwagia maji ya maiti. Mlipoenda mechi ya marudiano, hamsemi waliwafanyia nini baada ya mechi maana baada ya game Aziz Ki alienda moja kwa moja kwao, Feisal akatoweka mpaka leo hajarudi, Morrison naye hivyo hivyo. Za ndaaaani......ngoja niishie hapo.
 
Waswahili wanapenda sana kukomalia mambo ma hata pale ushahidi ukiwa hafifu au wakiletewa ushahidi tofauti na wanachotaka kuamini, wanakuwa wagumu kukubali.

Nimeona clip inayosambaa ya basi la Simba likirudi kinyume katika mtaa mmoja mwembamba. Kwanza sielewi kinachoshangaza nini kwa gari kurudi reverse. Niwakumbushe tu hii technology ya reverse imekuwepo kwenye magari kwa miaka mingi sana na inatumika kila siku. Sasa hivi tu unaposoma huu uzi kuna magari mengi tu muda huu yanaenda kinyumenyume. Kingine tena ukiangalia clip hiyo inayosambaa ni katika mtaa ambao ni wazi hilo basi lilikuwa linaenda kugeuza.

Wengine wamediriki kusema hilo basi limeendeshwa hivyo siku ya jana kutokea Bunju hadi Uwanja wa Taifa na kuna watu kabisa wanaamini hivyo.

Sasa ili tukate mzizi wa fitna ili tuachane na hili tuongelee mambo mengine ya maana, embu tumeni clip nyingine ikionyesha basi hilo likipita eneo tofauti na hapo likiwa bado linaendeshwa hivyo au clip ya eneo hilo hilo lakini linapita eneo ambapo lingeweza kugeuza lakini halifanyi hivyo.
Mchezooombayahuooo unaharibu kibofuuuu
 
Ukiona mtu aliyekuzidi uwezo anajaribu kukuzoea zoea ujue una kitu. Raja hajafanya hivi kwa timu yoyote nyingine zaidi ya Simba.

Mara ya mwisho nyie mmecheza na waarabu taifa pale mliwamwagia maji ya maiti. Mlipoenda mechi ya marudiano, hamsemi waliwafanyia nini baada ya mechi maana baada ya game Aziz Ki alienda moja kwa moja kwao, Feisal akatoweka mpaka leo hajarudi, Morrison naye hivyo hivyo. Za ndaaaani......ngoja niishie hapo.
.
Screenshot_20230219-143500_Instagram%20Lite.jpg
 
Ukiona mtu aliyekuzidi uwezo anajaribu kukuzoea zoea ujue una kitu. Raja hajafanya hivi kwa timu yoyote nyingine zaidi ya Simba.

Mara ya mwisho nyie mmecheza na waarabu taifa pale mliwamwagia maji ya maiti. Mlipoenda mechi ya marudiano, hamsemi waliwafanyia nini baada ya mechi maana baada ya game Aziz Ki alienda moja kwa moja kwao, Feisal akatoweka mpaka leo hajarudi, Morrison naye hivyo hivyo. Za ndaaaani......ngoja niishie hapo.

Endelea kujifariji kwa anakuzoea wewe wkt hatujaona neno SIMBA
 
Waswahili wanapenda sana kukomalia mambo ma hata pale ushahidi ukiwa hafifu au wakiletewa ushahidi tofauti na wanachotaka kuamini, wanakuwa wagumu kukubali.

Nimeona clip inayosambaa ya basi la Simba likirudi kinyume katika mtaa mmoja mwembamba. Kwanza sielewi kinachoshangaza nini kwa gari kurudi reverse. Niwakumbushe tu hii technology ya reverse imekuwepo kwenye magari kwa miaka mingi sana na inatumika kila siku. Sasa hivi tu unaposoma huu uzi kuna magari mengi tu muda huu yanaenda kinyumenyume. Kingine tena ukiangalia clip hiyo inayosambaa ni katika mtaa ambao ni wazi hilo basi lilikuwa linaenda kugeuza.

Wengine wamediriki kusema hilo basi limeendeshwa hivyo siku ya jana kutokea Bunju hadi Uwanja wa Taifa na kuna watu kabisa wanaamini hivyo.

Sasa ili tukate mzizi wa fitna ili tuachane na hili tuongelee mambo mengine ya maana, embu tumeni clip nyingine ikionyesha basi hilo likipita eneo tofauti na hapo likiwa bado linaendeshwa hivyo au clip ya eneo hilo hilo lakini linapita eneo ambapo lingeweza kugeuza lakini halifanyi hivyo.

UPDATE: Ni wazi hakuna mtu mwenye clip zaidi ya hiyo kwa hiyo hii mada tumeifunga rasmi. Kuna mada za kijinga ukizijadili zinapunguza uwezo wako wa akili.





Basi la Simba
 
Wanajitekenya na kucheka wenyewe. Eti tumefika wakati tunashangaa gari kurudi nyuma na inakuwa mada ya kitaifa. Tumekuwa nchi ya ajabu sana.

Wakija na ushahidi nipo nimekaa pale, unitag mkuu.
 


Haya video yenye maelezo zaidi hiyo hapo. Watanzania tuache fitna na kusambaza uongo dhidi ya watu au taasisi zingine, hizo ni roho chafu.

Jeshi la polisi pia liwachukulie hatua kali za kisheria wote waliosambaza video ile na kuzua taharuki.
 
Back
Top Bottom