Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 3,380
- 5,906
Mimi ni kijana mhitimu wa chuo nimeamua kujikita kwenye ufugaji wa kuku wa Nyama(broilers).
Nilikua nahitaji mtu ambae ana connection ya uuzaji wa kuku kama vile kwenye restaurants au vibanda vya chipsi aniungishe tufanye biashara tuendeleze Maisha.
NB: Uaminifu ndio jadi yangu
Nilikua nahitaji mtu ambae ana connection ya uuzaji wa kuku kama vile kwenye restaurants au vibanda vya chipsi aniungishe tufanye biashara tuendeleze Maisha.
NB: Uaminifu ndio jadi yangu