Mzee Heshima mbele,
Binafsi sijui contacts za viongozi wa chama cha maalbino-Tanzania, ila naona wako chini ya hii Federation.
SHIVYAWATA - Tanzania Federation of Disabled Peoples Organizations
"The umbrella organization for NGOs of- and for- persons with disabilities in Tanzania, in which the following organizations are represented: the Tanzania Association of the Deaf (CHAVITA), the Tanzania League of the Blind, the Tanzania Albino Society (TAS), Tanzania Association for Mentally Handicapped (TAMH). The organizations have the role to advocate rights and improved services, mobilize persons with disabilities, identify needs and priorities, participate in the planning, implementation and evaluation of services and measures, contribute to public awareness, provide services, and promote/organize income generating activities".
Anwani yao ni hii hapa jaribu kama unaweza kupata msaada wowote kutoka kwao,
Shirikisho la Vyama vya Watu wenye
ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA)
Kinondoni B
Kanazi Street
P.O. Box 42984
Dar es Salaam
Tanzania
Tel: +255 784 419 030
Email:
shivyawata@yahoo.com
Hizo ni contacts zao mpaka mwaka jana kama zimebadilika unisamehe bure.
Note:
Kama nitakuwa nimekosea chochote katika post hii nisamehewe kwa sababu ndo post yangu ya kwanza humu.