Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Jaji wa Mahakama ya Rufani, Stella Mugasha
Siku mbili hizi ameteka headline kwa barua aliyoandika kukosoa kuongezewa muda Jaji Mkuu.
Naomba mwenye CV ya Jani Mugasha pls ashare nasi hapa
Pia soma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe; ya kazi gan??Mhe. Jaji Stela Mugasha ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania.
Siku mbili hizi ameteka headline kwa barua aliyoandika kukosoa kuongezewa muda Jaji Mkuu.
Naomba mwenye CV ya Jani Mugasha pls ashare nasi hapa
Lengo ni lipi basi??? Liweke wazi japa hilo lengo lako kwa sababu "whatever secret is not sincere".Sidhani kama lengo ni hilo