Mwenye CV ya Jaji Stella Mugasha atuwekee

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Mhe. Jaji Stela Mugasha ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania.

Siku mbili hizi ameteka headline kwa barua aliyoandika kukosoa kuongezewa muda Jaji Mkuu.

Naomba mwenye CV ya Jani Mugasha pls ashare nasi hapa
Wewe; ya kazi gan??
Ili umuanzishie kampeni zenu chafu za kumchafua (Characters Assassination and Smear Campaign)???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…