Mwenye CV ya mrembo Jackie Cliff

Mwenye CV ya mrembo Jackie Cliff

Hapa Ridhiwani J.M.K Hana mkono wake kweli? Ok lakini China na South Africa ni Nchi mbili zilizo ktk mabara mawili na serikali tofauti bila Shaka hatutasikia kama ya Masogange Kuwa ulikuwa ni unga tu tena wa kuchanganywa..........???
 
Mtu akishafikwa na majanga furaha yako weka moyoni mbele za watu mumuonee huruma. Mtanzania mwenzetu, binti mdogo na anaonekana kuwa ana full life ahead of her. So sad kwa kweli. Waliomshauri abebe ndo wanyongwe binafsi namuonea huruma tu.

ila ukweli aisee.. dah... 4 sure naanza muonea huruma pia.
 
yaani hawa wanatufanya mpaka wenzao mjini hapa tujione tuna gundu a.k.a nuksi kusoma umesoma weeee umeajiriwa ila maisha hayaendi.
Wao kutwa kutuonyesha chumba kilichojaa viatu,nguo poch za lv na cl original wakati mie na salary slip yangu inaishia kwenye basic needs na kuishi kwa mkopo.Nilikuwa nasema God is not fair kumbe i was wrong.
Aliulizagwa clouds tv weekend chat show tunasikia wewe ni drug dealer akasema :u can see am very beatiful can i sell drugs haaa wiki haikuisha mumewe akakamatwa.
Mwaka haujakata na yeye kakamatwa

walimpendelea kumuuliza hilo swali,maana yeye ni punda tu
 
Back
Top Bottom