yaani hawa wanatufanya mpaka wenzao mjini hapa tujione tuna gundu a.k.a nuksi kusoma umesoma weeee umeajiriwa ila maisha hayaendi.
Wao kutwa kutuonyesha chumba kilichojaa viatu,nguo poch za lv na cl original wakati mie na salary slip yangu inaishia kwenye basic needs na kuishi kwa mkopo.Nilikuwa nasema God is not fair kumbe i was wrong.
Aliulizagwa clouds tv weekend chat show tunasikia wewe ni drug dealer akasema :u can see am very beatiful can i sell drugs haaa wiki haikuisha mumewe akakamatwa.
Mwaka haujakata na yeye kakamatwa