Mwenye CV ya Msemaji Mpya wa Serikali atusaidie? Atueleze amewahi kufanya nini cha kukumbukwa kwenye maisha yake ya utumishi au siasa?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Naomba mwenye CV ya Msemaji Mpya mrithi wa Gerson Msigwa atuwekee hapa.

Sambamba na TV nani anaweza kutupa A,B,C ya mambo ambayo amewahi kufanya na kufanikiwa ili tuone kama anaweza kilisemea Taifa au Serikali pale tunapolazimika kufanya hivyo.

Je, kuzungumza na waandishi wa habari akiwa DC Temeke linatosha kuwa chanzo cha kuwa msemaji wa serikali?

What are the quality behind appointment
 
Alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Majira na aliwahi kuishi muda mrefu Marekani. Alisoma na aliyekuwa rais wa DR Congo, Joseph Kabila mdogo wake Masiyaga alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mtanzania.
 
Aisee[emoji3][emoji3]

Hawa usalama nowdays ndiyo wanajaza nafasi nyingi serikalini za uteuzi..
 
Aisee!
 
We wakat mobhare yuko usa ulijua ni usalama? [emoji23][emoji23][emoji23] Mobhare ni Usalama na Masyaga ni usalama kwa cover ya uandishi ndg acha kubishana
Wabongo wepesi mno kuongopewa. Masiyaga alitumia sana nafasi ya kaka yake. Hadi kuna wakati alikamatwa kwa rushwa Arusha. Huyo kaka yake yupo huko kitambo sana
 
Wabongo wepesi mno kuongopewa. Masiyaga alitumia sana nafasi ya kaka yake. Hadi kuna wakati alikamatwa kwa rushwa Arusha. Huyo kaka yake yupo huko kitambo sana

Bos amin unavyoamin basi nisikulazimishe ndg yangu
 
Kwa hiyo ameteuliwa kwa sababu yeye na mdogo wake ni watu wa vitengo?

Amewahi kufanikiwa katika jambo gani ambalo TAIFA linaweza kujivunia?

Creativity yake imelala kwenye maeneo gani? Is he from familia bora or bora familia?
 
We wakat mobhare yuko usa ulijua ni usalama? [emoji23][emoji23][emoji23] Mobhare ni Usalama na Masyaga ni usalama kwa cover ya uandishi ndg acha kubishana
Huyu agness masyaga ni mwanae?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…