Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni nuksi amejiwekea yeye mwenyewe alipokuwa kocha wa prisons alitanguliza mapenzi yake kwa Yanga badala ya kusimamia taaluma ndio akiingiza timu ligi kuu wanajua kuna pointi sita ataenda kuzigawa kwenye ligi za chini yanga haishiri ndio maana wanamchukua
Imekaa Kimanara Manara hii postKama ni nuksi amejiwekea yeye mwenyewe alipokuwa kocha wa prisons alitanguliza mapenzi yake kwa Yanga badala ya kusimamia taaluma ndio akiingiza timu ligi kuu wanajua kuna pointi sita ataenda kuzigawa kwenye ligi za chini yanga haishiri ndio maana wanamchukua
Ndo maana wanampendea kupiga hiyo kazi ya kupandisha timu daraja?aje majimaji atupandishie timu yetu maana ndio analiweza. ligi daraja la kwanza imejaa mipango mingi nje ya uwanja so kibongo bongo kupandisha timu ubora wa kocha ni 35% hizi 65% ni uchawi, rushwa, fitina na marefa.
Kuna ka ukweli Fulani, angekuwa anakaza kama kina Matola na Julio wanavyoikaziaga Simba pamoja na mapenzi yao ingekuwa vigumu kutemwa.shida kubwa ya huyu jamaa ni UYANGA. team yake ikiiingia ligi kuu maana yake ni kuwa tayari imeshapoteza point 6 kabla hata haijacheza na yanga. Huwa ni Point sita zipo tayari kwa ajili ya mechi zake na yanga. sasa wanaofaham mpira hawataki mambo hayo ya kuwapa point team pinzani mezani. ndo maana wanaona kuanzia hapo sasa waendelee wengine walio serious yeye akarudi kule chini ambako hakuna yanga. na ikija kutokea yanga imeshuka daraja mtaona minziro anapata team za VPL bila shida. ama sivyo apate team ambazo tayari zimeshabinafisha point zao yanga..kama toto africa n.k
Kuna ka ukweli Fulani, angekuwa anakaza kama kina Matola na Julio wanavyoikaziaga Simba pamoja na mapenzi yao ingekuwa vigumu kutemwa.