Mwenye digrii za Marketing kibao anashindwaje kujua exchange rate kwenye interview ya exporting company inayohitaji Export marketing director?

Mwenye digrii za Marketing kibao anashindwaje kujua exchange rate kwenye interview ya exporting company inayohitaji Export marketing director?

Jana ulikuja uzi wa picha kwenye noti leo exchange rate 😆😆wasomi mnatabu
Yaani nina examples za maswali ya fani tofauti zaidi ya 150 ya fani mbalimbali kama msimamizi wa interview ambayo wahojiwa yaliwashinda kwa mass naishia hapi sileti fani zingine tena
 
Miaka michache (chini ya 5) iliyopita, nilikua nahitaji kijana msomi na makini mno ili asimamie biashara yangu mpya. Niliwafanyia interview graduates 32 na sikupata mtu. Mama yangu akaniambia tafuta chuo chochote Dar, ulizia mwalimu wao wa biashara, mwambie nature ya biashara yako, muombe akupe wanafunzi waliomaliza ambao anaona watafaa kwa biashara yako. Alafu muahidi akikupatia mtu sasa, utamlipa laki 2.

Nilifanya hivyo, nikatanguliza 50. Huyo mwalimu alisema anae mtu ila alikua ana mreserve kwa ajili ya project yake mwenyewe. Alinipa namba siku hio hio, nikamfanyia interview kesho yake, na kumpa ajira bila hata kuona hio degee yake. Alikua ni kijana sahihi sana kwa biashara yangu, na yeye nikampa jukumu ya kutafuta wasaidizi wake wa ngazi za chini. Hamna pesa niliyowahi kuitumia vizuri kama hio laki 2 .

Katika hii miaka 10 iliyopita, mie binafsi nimeshawanyia interview vijana zaidi ya 700, nafasi tofauti tofauti, kati ya hao, graduates zaidi ya nusu, na kati ya hao, walioweza kupata ajira, hawazidi 20. Tatizo kubwa ni vijana hawajiongezi, hawaendi the extra mile required, uaminifu ni tatizo kubwa mno, hawasomi vitabu au majarida kuona dunia inaendaje kwa sasa, kuna university of 'utube', ni bureeee ila vijana wako busy kuona diamond kazaa na nani, tako la bby mama wake ni lake au kigodoro, na vyote hivyo vinatumia bando. Ukienda nchi jirani tu hapo, unaweza kua na nafasi 2 ila wanaofaa hio nafasi zaidi ya 15, unachanganyikiwa umuache nani, umchukue nani. Ila hapa nyumbani, kuna tatizo kubwa mno la vijana wetu kwenye issue ya interviews na ajira kwa ujumla.
Nimependa hii comment yako good sana ....Mimi nawaza kufungua branch ya biashara yangu mpaka sasa sijapata mtu wakusimamia uaminifu kwa vijana ni tatizo kubwa sana

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Huyu mleta mada ni Gamba huwa siungagi mkono hoja zake Ila kwa mara ya kwanza hili ya Interview namuunga mkono! kuwa msomi ni zaidi ya kumeza mitopic ya darasani...lazima uwe na uelewa mpana wa mambo mengi hasa kwenye kitu ulichosomea mtu wa itakuwaje usijizujue Hela na muajiri anaejielewa haajiri kasuku anataka kichwa kinachojifunza mambo tofauti na aliyomeza so..mnaotafuta kazi jiongezeni vinginevyo mtaishia kupeperusha bendera za cccm tu kuambulia elf 7 lazima ujiulize position ziko chache waombaji mko maelf mkiulizwa mambo za minotes... itakuwaje

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi vijana tunataka mafanikio sio nafanya kazi kwako haunipi mshahara kwa wakati kumbuka na Mimi nina ndoto zangu nataka kuzifikia kwanini nisikuibie ili teheshimiane
...kwa akili kama hivi kwanini msibakie kubebeshwa bendera za ccm ...ninapokupa kazi nategemea uwe Sababu ya biashara yangu kuinuka manake yangu nww umeisha pia ninapokupa kazi kwangu inakuwa kama ni maandalizi yaww kuendesha yako sasa kama unaniibia unategemea hata ukiwa na yako utasogea wapi

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Huyu mleta mada ni Gamba huwa siungagi mkono hoja zake Ila kwa mara ya kwanza hili ya Interview namuunga mkono! kuwa msomi ni zaidi ya kumeza mitopic ya darasani...lazima uwe na uelewa mpana wa mambo mengi hasa kwenye kitu ulichosomea mtu wa itakuwaje usijizujue Hela na muajiri anaejielewa haajiri kasuku anataka kichwa kinachojifunza mambo tofauti na aliyomeza so..mnaotafuta kazi jiongezeni vinginevyo mtaishia kupeperusha bendera za cccm tu kuambulia elf 7 lazima ujiulize position ziko chache waombaji mko maelf mkiulizwa mambo za minotes... itakuwaje

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Uliyosema yote ni sahihi, lakini kulingana na hilo swali ni vigumu sana kutoboa ,ni sawa na kuuliza rangi ya kinyonga.
Ask na bid price zinachange kwa muda mfupi kulingana na nguvu ya soko. Kibaya zaidi kila banki ina data zake Bot,crdb,nmb etc wana price tofauti
 
Zozote ziwe za kuuza au kununua issue ni kuwa at least yuko ok anaijua daily rate ambayo yaweza kuwa verifiable hata mtu angetoa hata ya bureau de change yeyote ingekuwa sawa tu.Akisema tu according to this bank or this bureau de change by the time nakuja interview it is ok .It will be verifiaide if ok ataendelea next stage
Wewe mwenyewe swali lako halieleweki.

Swali kabla ya kujibiwa limezaa swali lingine.
 
Miaka michache (chini ya 5) iliyopita, nilikua nahitaji kijana msomi na makini mno ili asimamie biashara yangu mpya. Niliwafanyia interview graduates 32 na sikupata mtu. Mama yangu akaniambia tafuta chuo chochote Dar, ulizia mwalimu wao wa biashara, mwambie nature ya biashara yako, muombe akupe wanafunzi waliomaliza ambao anaona watafaa kwa biashara yako. Alafu muahidi akikupatia mtu sasa, utamlipa laki 2.

Nilifanya hivyo, nikatanguliza 50. Huyo mwalimu alisema anae mtu ila alikua ana mreserve kwa ajili ya project yake mwenyewe. Alinipa namba siku hio hio, nikamfanyia interview kesho yake, na kumpa ajira bila hata kuona hio degee yake. Alikua ni kijana sahihi sana kwa biashara yangu, na yeye nikampa jukumu ya kutafuta wasaidizi wake wa ngazi za chini. Hamna pesa niliyowahi kuitumia vizuri kama hio laki 2 .

Katika hii miaka 10 iliyopita, mie binafsi nimeshawanyia interview vijana zaidi ya 700, nafasi tofauti tofauti, kati ya hao, graduates zaidi ya nusu, na kati ya hao, walioweza kupata ajira, hawazidi 20. Tatizo kubwa ni vijana hawajiongezi, hawaendi the extra mile required, uaminifu ni tatizo kubwa mno, hawasomi vitabu au majarida kuona dunia inaendaje kwa sasa, kuna university of 'utube', ni bureeee ila vijana wako busy kuona diamond kazaa na nani, tako la bby mama wake ni lake au kigodoro, na vyote hivyo vinatumia bando. Ukienda nchi jirani tu hapo, unaweza kua na nafasi 2 ila wanaofaa hio nafasi zaidi ya 15, unachanganyikiwa umuache nani, umchukue nani. Ila hapa nyumbani, kuna tatizo kubwa mno la vijana wetu kwenye issue ya interviews na ajira kwa ujumla.
Kuandika barua ya maombi ya kazi mpaka kuhudhuria interview ni moja ya weekness kubwa sana kwenye maisha.

Yaani unapambana uridhishe takataka mmoja as if anakusaidia saana maisha.

Mtu kama huyo hata ukimwajiri anatakiwa kika siku awe anakulamba makalio, boss boss, boss ili aishi.
 
Interview za sasa hivi waajiri wengi wanawatumia HR private consuktants kutunga maswali

waombaji hata wawe elfu tano wanahitajika wawili kuna swali HR private consultant akitunga shughuli pevu
Acha urongo
 
Nimepata shock kampuni yetu tulipewa tenda ya kutafuta export marketing director wa kampuni inayo export bidhaa marekani yenye matawi Tanzania mshahara USD 12000 sawa na roughly milioni 25 kwa mwezi .Serikali ilisema haitaki kampuni za nje ziajiri wageni kwenye fani ambazo ziko nchini kwenye vyuo vyetu.

Interview ilipangwa ifanyike saa tisa mchana kutoa nafasi exchange rate ziwe zimesha chapishwa na mabenki yote na bureau de change zote ambazo huchapisha exchange rate maximum huwa saa tatu asubuhi hivyo interview ikianza saa tisa muomba kazi atakuwa anazo ili azitumie kwenye written intervew saa 9.

Tuka comply na serikali inayotaka ajira zote zipewe wazawa kwenye fani ambazo zinapatikana ndani ya nchi sababu maketing degree ziko kibao Tanzania maswali matatu kwenye written intervew yalikuwa academic kupima uwezo wa muombaji kazi kama kweli kasoma na asilimia 99 walijibu vizuri mno yalikuwa na marks 40.

Swali la nne lilikuwa more practical lilihoji exchange rate ya shilingi ya Tanzania na dola leo ni shilingi ngapi likiwa na marks 60 ?.wameshindwa kujibu very sad.

Majibu waliyoandika ni aibu wengine waliandika that is outside of my study and my majerting proffession nk.

Hivi nini hicho? Nadhani kuna shida mahali kwa wasomi wetu.
Serikali ya Magufuli imeharibu elimu
 
huko ni kukomoana ndugu kua vitu viko automated kwa kwa ajili ya mambo hayo ku monitor exchange rate , and a perfect employee does not exist, hapo hapo kwenye hiyo field yako hata mimi nawea kukufanyia interview na usipate hata 10%
Hahhah
 
Nimepata shock kampuni yetu tulipewa tenda ya kutafuta export marketing director wa kampuni inayo export bidhaa marekani yenye matawi Tanzania mshahara USD 12000 sawa na roughly milioni 25 kwa mwezi .Serikali ilisema haitaki kampuni za nje ziajiri wageni kwenye fani ambazo ziko nchini kwenye vyuo vyetu.

Interview ilipangwa ifanyike saa tisa mchana kutoa nafasi exchange rate ziwe zimesha chapishwa na mabenki yote na bureau de change zote ambazo huchapisha exchange rate maximum huwa saa tatu asubuhi hivyo interview ikianza saa tisa muomba kazi atakuwa anazo ili azitumie kwenye written intervew saa 9.

Tuka comply na serikali inayotaka ajira zote zipewe wazawa kwenye fani ambazo zinapatikana ndani ya nchi sababu maketing degree ziko kibao Tanzania maswali matatu kwenye written intervew yalikuwa academic kupima uwezo wa muombaji kazi kama kweli kasoma na asilimia 99 walijibu vizuri mno yalikuwa na marks 40.

Swali la nne lilikuwa more practical lilihoji exchange rate ya shilingi ya Tanzania na dola leo ni shilingi ngapi likiwa na marks 60 ?.wameshindwa kujibu very sad.

Majibu waliyoandika ni aibu wengine waliandika that is outside of my study and my majerting proffession nk.

Hivi nini hicho? Nadhani kuna shida mahali kwa wasomi wetu.
Angepiga nyungu
 
Kanunua vyeti huyo. Hata wewe ukitaka njoo Survey.
Useme unataka Cha degree ipi na kiwango Cha gpa. Hela yako tu. Hata vya PhD tunatoa. SI unaona Kuna wenye PhD wengi mtaani ambao hawana akili.
 
Nimepata shock kampuni yetu tulipewa tenda ya kutafuta export marketing director wa kampuni inayo export bidhaa marekani yenye matawi Tanzania mshahara USD 12000 sawa na roughly milioni 25 kwa mwezi .Serikali ilisema haitaki kampuni za nje ziajiri wageni kwenye fani ambazo ziko nchini kwenye vyuo vyetu.

Interview ilipangwa ifanyike saa tisa mchana kutoa nafasi exchange rate ziwe zimesha chapishwa na mabenki yote na bureau de change zote ambazo huchapisha exchange rate maximum huwa saa tatu asubuhi hivyo interview ikianza saa tisa muomba kazi atakuwa anazo ili azitumie kwenye written intervew saa 9.

Tuka comply na serikali inayotaka ajira zote zipewe wazawa kwenye fani ambazo zinapatikana ndani ya nchi sababu maketing degree ziko kibao Tanzania maswali matatu kwenye written intervew yalikuwa academic kupima uwezo wa muombaji kazi kama kweli kasoma na asilimia 99 walijibu vizuri mno yalikuwa na marks 40.

Swali la nne lilikuwa more practical lilihoji exchange rate ya shilingi ya Tanzania na dola leo ni shilingi ngapi likiwa na marks 60 ?.wameshindwa kujibu very sad.

Majibu waliyoandika ni aibu wengine waliandika that is outside of my study and my majerting proffession nk.

Hivi nini hicho? Nadhani kuna shida mahali kwa wasomi wetu.
Mlikua mmetoa ajira kwa UVCCM sasa toka lini UVCCM wakawa na akili?
 
Kwaio walitakiwa waandike exchanhe rate zote i.e buying and selling..
 
Nimepata shock kampuni yetu tulipewa tenda ya kutafuta export marketing director wa kampuni inayo export bidhaa marekani yenye matawi Tanzania mshahara USD 12000 sawa na roughly milioni 25 kwa mwezi .Serikali ilisema haitaki kampuni za nje ziajiri wageni kwenye fani ambazo ziko nchini kwenye vyuo vyetu.

Interview ilipangwa ifanyike saa tisa mchana kutoa nafasi exchange rate ziwe zimesha chapishwa na mabenki yote na bureau de change zote ambazo huchapisha exchange rate maximum huwa saa tatu asubuhi hivyo interview ikianza saa tisa muomba kazi atakuwa anazo ili azitumie kwenye written intervew saa 9.

Tuka comply na serikali inayotaka ajira zote zipewe wazawa kwenye fani ambazo zinapatikana ndani ya nchi sababu maketing degree ziko kibao Tanzania maswali matatu kwenye written intervew yalikuwa academic kupima uwezo wa muombaji kazi kama kweli kasoma na asilimia 99 walijibu vizuri mno yalikuwa na marks 40.

Swali la nne lilikuwa more practical lilihoji exchange rate ya shilingi ya Tanzania na dola leo ni shilingi ngapi likiwa na marks 60 ?.wameshindwa kujibu very sad.

Majibu waliyoandika ni aibu wengine waliandika that is outside of my study and my majerting proffession nk.

Hivi nini hicho? Nadhani kuna shida mahali kwa wasomi wetu.
Wewe leo umeamua kuhadaa wasomi.....sasa marketing director akalili xchange rate?

Xchange rate zinabadilika kila siku ,na kuna special rate ,so zinazotolewa na bank na bot ni tofauti ,na kila bank au bireau de change huwa na xchange rate yake........BOT ni elekezi ya kununua kwao..


Mngetoa xchange rate muwaambie wauze bidhaa ,watauza tsh ngapi equivalent kwa pesa za kitanzania ikiwa watauza nnje ya nchi........
 
huko ni kukomoana ndugu kua vitu viko automated kwa kwa ajili ya mambo hayo ku monitor exchange rate , and a perfect employee does not exist, hapo hapo kwenye hiyo field yako hata mimi nawea kukufanyia interview na usipate hata 10%
Yaani ubaya mbongo akipata nafasi anaona ambao hawajapata wajinga......

Interview akifanyiwa yeye au hata wenzie hao kwa namna hio hawatoboi...serious
 
Swali la kipumbavu sana.

Ilibidi wajibu exchange rate ya taasisi gani ili wapate maana banks na bureau de change huwa rates tofauti hata kama ni a few cents.
 
Wewe leo umeamua kuhadaa wasomi.....sasa marketing director akalili xchange rate?

Xchange rate zinabadilika kila siku ,na kuna special rate ,so zinazotolewa na bank na bot ni tofauti ,na kila bank au bireau de change huwa na xchange rate yake........BOT ni elekezi ya kununua kwao..


Mngetoa xchange rate muwaambie wauze bidhaa ,watauza tsh ngapi equivalent kwa pesa za kitanzania ikiwa watauza nnje ya nchi........
Besides marketing director anakuwa subordinates wa ku deal na hayo mambo, yeye ni mtu mkubwa sana ku deal na daily exchange rates.

Atuambie hakuna hata mmoja aliyesema average ni 2300.
Hii chai ya vitunguu swaumu na bupiji! 😂

Everyday is Saturday................................😎
 
Siku hizi vijana tunataka mafanikio sio nafanya kazi kwako haunipi mshahara kwa wakati kumbuka na Mimi nina ndoto zangu nataka kuzifikia kwanini nisikuibie ili teheshimiane
mshahara wanapata ontime na hela ya lunch nawapa pamoja na dinner cheki nnavyowapendelea lakini bado wanataka kuiba
 
Back
Top Bottom