Samahani ndugu yangu, wewe hapo ulipo umeajiri watu wangapi?Kuandika barua ya maombi ya kazi mpaka kuhudhuria interview ni moja ya weekness kubwa sana kwenye maisha.
Yaani unapambana uridhishe takataka mmoja as if anakusaidia saana maisha.
Mtu kama huyo hata ukimwajiri anatakiwa kika siku awe anakulamba makalio, boss boss, boss ili aishi.
Kwa hiyo ukubwa wake wakimdanganya na subordinates is it ok? sababu yeye ana misuti mikubwa gar mirupurupu mikubwa na nyumba kubwa anayolipiwa na kampuni?Besides marketing director anakuwa subordinates wa ku deal na hayo mambo, yeye ni mtu mkubwa sana ku deal na daily exchange rates.
Mkuu kazi kama hizo mwe mnatatufuta vijana tunaoshinda na exchange rate kila siku.Nimepata shock kampuni yetu tulipewa tenda ya kutafuta export marketing director wa kampuni inayo export bidhaa marekani yenye matawi Tanzania mshahara USD 12000 sawa na roughly milioni 25 kwa mwezi .Serikali ilisema haitaki kampuni za nje ziajiri wageni kwenye fani ambazo ziko nchini kwenye vyuo vyetu.
Interview ilipangwa ifanyike saa tisa mchana kutoa nafasi exchange rate ziwe zimesha chapishwa na mabenki yote na bureau de change zote ambazo huchapisha exchange rate maximum huwa saa tatu asubuhi hivyo interview ikianza saa tisa muomba kazi atakuwa anazo ili azitumie kwenye written intervew saa 9.
Tuka comply na serikali inayotaka ajira zote zipewe wazawa kwenye fani ambazo zinapatikana ndani ya nchi sababu maketing degree ziko kibao Tanzania maswali matatu kwenye written intervew yalikuwa academic kupima uwezo wa muombaji kazi kama kweli kasoma na asilimia 99 walijibu vizuri mno yalikuwa na marks 40.
Swali la nne lilikuwa more practical lilihoji exchange rate ya shilingi ya Tanzania na dola leo ni shilingi ngapi likiwa na marks 60 ?.wameshindwa kujibu very sad.
Majibu waliyoandika ni aibu wengine waliandika that is outside of my study and my majerting proffession nk.
Hivi nini hicho? Nadhani kuna shida mahali kwa wasomi wetu.
Mkuu sio kwamba vijana wote sio waaminifu, tatizo ni kwamba sehemu unazowatafuta hao vijana hawapo.Nimependa hii comment yako good sana ....Mimi nawaza kufungua branch ya biashara yangu mpaka sasa sijapata mtu wakusimamia uaminifu kwa vijana ni tatizo kubwa sana
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
My friend; this is not a practical question. Hata nyie inaonesha kampuni yenu haijui inachokifanya. Kujua exchange rate ya muda huo haidaidii kwenye export tradenne lilikuwa more practical lilihoji exchange rate ya shilingi ya Tanzania na dola leo ni shilingi ngapi likiwa na marks 60 ?.wameshindwa kujibu very sad
Kimsingi hili si swali la kibiashara . Linaweza kuwa la kibiashara iwapo mlengwa anatakiwa kufanya biashara ya fedha moja kwa mojanyinyi ndio hamna akili,hela inabadilika kila sekunde,hilo swali huwezi ukajibu kiusahii
Wazozaa Sana Ndugu CEO. Ukimpekua huyo degree holder hakosi hirizi hapoSio nongwa wasomi wetu wajiongeze waache kumeza tu notisi ili wapate digrii .Interiew sasa hivi zinaenda outside the box but withini your proffession hazitoki nje ya proffession yako.
Wengi hawana kazi sababu wakiomba wakienda written interview hawatoboi kwenda next stage ya oral interview.
Nimepata shock kampuni yetu tulipewa tenda ya kutafuta export marketing director wa kampuni inayo export bidhaa marekani yenye matawi Tanzania mshahara USD 12000 sawa na roughly milioni 25 kwa mwezi .Serikali ilisema haitaki kampuni za nje ziajiri wageni kwenye fani ambazo ziko nchini kwenye vyuo vyetu.
Interview ilipangwa ifanyike saa tisa mchana kutoa nafasi exchange rate ziwe zimesha chapishwa na mabenki yote na bureau de change zote ambazo huchapisha exchange rate maximum huwa saa tatu asubuhi hivyo interview ikianza saa tisa muomba kazi atakuwa anazo ili azitumie kwenye written intervew saa 9.
Tuka comply na serikali inayotaka ajira zote zipewe wazawa kwenye fani ambazo zinapatikana ndani ya nchi sababu maketing degree ziko kibao Tanzania maswali matatu kwenye written intervew yalikuwa academic kupima uwezo wa muombaji kazi kama kweli kasoma na asilimia 99 walijibu vizuri mno yalikuwa na marks 40.
Swali la nne lilikuwa more practical lilihoji exchange rate ya shilingi ya Tanzania na dola leo ni shilingi ngapi likiwa na marks 60 ?.wameshindwa kujibu very sad.
Majibu waliyoandika ni aibu wengine waliandika that is outside of my study and my majerting proffession nk.
Hivi nini hicho? Nadhani kuna shida mahali kwa wasomi wetu.