Mwenye diploma ya chemistry anahitajika.......

Mwenye diploma ya chemistry anahitajika.......

Paje

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2010
Posts
1,185
Reaction score
486
WAKUU HABARI.
Kiwanda kipo DAR. anahitajika mtu mwenye kujua chemistry atatakiwa kufanya kazi ya kupiga mahesabu how to mix to make some alloys. atafundishwa asiwe na hofu.
ambaye yupo tayari atume credentials zake ikiwemo diploma yake na short cv ...... sogeamoja@hotmail.com
thanks
 
WAKUU HABARI.
Kiwanda kipo DAR. anahitajika mtu mwenye kujua chemistry atatakiwa kufanya kazi ya kupiga mahesabu how to mix to make some alloys. atafundishwa asiwe na hofu.
ambaye yupo tayari atume credentials zake ikiwemo diploma yake na short cv ...... sogeamoja@hotmail.com
thanks

mwenye degree hatakiwiiiiiiiiiiiiii?
 
mimi nina degree ya education in science so nilimajor chem na qualify?
 
ni kwa ajili ya mwenye diploma tu. mwenye degree hatakiwi. just to do some simple calculations za ratio za elements kwenye compound. hata form iv anaweza lakini anatakiwa mwenye diploma.
 
ni kwa ajili ya mwenye diploma tu. mwenye degree hatakiwi. just to do some simple calculations za ratio za elements kwenye compound. hata form iv anaweza lakini anatakiwa mwenye diploma.

kiasi gani kwa mwezi
 
Back
Top Bottom